kahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 16 Jul 2026 04:43:37
GoVt to distribute over 11,000 assistive devices to learners with disabilities
The Government has announced that it will distribute 11,139 assistive devices to 321 inclusive education programmes and special schools across the country to support learners with visual and physical disabilities. Education Cabinet Secretary Julius Migos Ogamba flagged off the third phase of the distribution exercise at the Kenya Institute of Special Education (KISE) in Kasarani, [...] The post GoVt to distribute over 11,000 assistive devices to learners with disabilities appeared first on Kahawatungu.
read morestandardmedia.co.ke
@standard Thu, 16 Jul 2026 03:20:00
Grade 8 student books bnb with 'lover'; parent sues school, headteacher for suspension
On July 3, 2026, Hospital Hill Comprehensive School management sent home a Grade Eight student and asked her mother to take her for counselling at a government-owned institution
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Thu, 16 Jul 2026 02:55:53
Mkenya afariki Amerika baada ya gari kutumbukia kwenye bwawa
WAKENYA wanaoishi Amerika wanaomboleza mauti ya Titus Wanjala, aliyefariki baada ya gari alilokuwa akiendesha kutumbukia kwenye bwawa mjini Waukee, jimbo la Iowa. Wanjala, 43, pamoja na raia wa Amerika River Cropper, 23, wote wakazi wa Waukee, walifariki kufuatia ajali hiyo iliyotokea Julai 7. Walioshuhudia tukio walisema gari hilo lilipoteza mwelekeo, likatoka barabarani na kutumbukia kwenye
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 16 Jul 2026 02:24:53
eCitizen services to be unavailable on Saturday night
The Directorate of eCitizen Services has announced that all services on the eCitizen platform will be temporarily unavailable on Saturday, July 18, 2026, to allow for scheduled system maintenance. In a public notice, the Directorate said the maintenance exercise will take place from 7:00 p.m. to 12:00 midnight. According to the Directorate, the planned maintenance [...] The post eCitizen services to be unavailable on Saturday night appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Thu, 16 Jul 2026 02:29:39
TAHARIRI: Amani na uwazi ni muhimu katika kura ya Ol Kalou
UCHAGUZI mdogo wa ubunge wa Ol Kalou leo ni zaidi ya mashindano ya kisiasa kati ya vyama na wagombea wa vyama vikuu nchini. Ni fursa ya kuonyesha kwamba, Kenya imejifunza kutokana na makosa ya chaguzi zilizopita na kwamba, taasisi zake zina uwezo wa kusimamia uchaguzi ulio huru, wa haki na wa kuaminika. Hii ndiyo maana Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka Nchini (IEBC) ina wajibu leo wa kuhakikisha kuwa kuna viwango vya juu vya uwazi. Mshindi wa uchaguzi wa leo anastahili kuamuliwa kwa haki wala kusiwe na visa ambavyo vitasababisha kura yenyewe kuzua ghasia au kutiliwa shaka. Maafisa wa IEBC wanapaswa kusimamia zoezi hilo kwa uwazi, uadilifu na kutii sheria. Kila kura itakayoopigwa lazima ihesabiwe kwa uwazi, matokeo ya kila kituo yatangazwe wazi na fomu zote za matokeo zitolewe kwa maajenti na kuwekwa hadharani ili kuondoa mashaka. Wapigakura nao wana jukumu la kutumia haki yao ya kidemokrasia kwa amani. Hawapaswi kuruhusu kushawishiwa kwa pesa, vitisho, propaganda au misimamo ya kisiasa inayochochea chuki. Baada ya kupiga kura hakuna haja ya kumiminika vituoni, bali kila mtu aende nyumbani na kuachia IEBC jukumu la kuhesabu kura. Kukusanyika vituoni na kituo cha kujumuisha kura kutazua tu ghasia na makabiliano kati ya wanasiasa pinzani. Aidha, polisi wana wajibu wa kuhakikisha usalama wa kila mtu bila upendeleo. Maafisa wa usalama wanapaswa kuwalinda wapigakura, maajenti wa vyama, maafisa wa uchaguzi na waangalizi wa uchaguzi. Polisi hawapaswi kuegemea upande wowote wala kutumiwa kuvuruga matokeo ya uchaguzi wenyewe. Hatua yoyote ya kukabiliana na ukiukaji wa sheria inapaswa kufanywa kwa kuzingatia sheria. Ni muhimu pia vyama vya kisiasa na wagombea wakubali kuwa ushindi na kushindwa ni sehemu ya demokrasia. Badala ya kutoa matamshi ya uchochezi au kuhamasisha wafuasi wao kufanya vurugu, wanapaswa kutumia njia za kisheria iwapo watakuwa na malalamishi kuhusu matokeo. Ol Kalou imevutia macho ya taifa kwa sababu uchaguzi huu unatazamwa kama kipimo cha nguvu za kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027. Hata hivyo, umuhimu wake haupaswi kuwa sababu ya kuvuruga amani au kukiuka sheria. Wakenya wanatarajia kuona uchaguzi unaoendeshwa kwa uwazi, usawa na uaminifu.
read morekenyans.co.ke
@kenyans Wed, 15 Jul 2026 06:51:52
Wantam Movement Launches Online Voting to Pick 2027 Presidential Candidate
This comes as serious political realignments appear to be in the offing ahead of the 2027 elections, which will see President Ruto seek to defend his seat amid opposition plans to send him home.
read morekenyans.co.ke
@kenyans Wed, 15 Jul 2026 10:23:14
Residents Demand Resignation of Senior Official in Ruto's Office
The development comes as political temperatures continue to rise ahead of the 2027 General Election, with senior government officials increasingly finding themselves at the centre of political disputes.
read morekenyans.co.ke
@kenyans Wed, 15 Jul 2026 11:00:21
Education Ministry Gives Update on Pending KCSE Invigilators' Payments
KNEC deployed a total of 66,908 supervisors and invigilators to oversee the 2025 Kenya Certificate of Secondary Education (KCSE) national examinations, comprising of 54,782 invigilators and 12,126 supervisors.
read moreRight Column Content