kahawatungu.com
@kahawatungu Tue, 21 Jul 2026 23:33:02
Dillon Danis Net Worth
Dillon Danis is an American mixed martial artist, Brazilian Jiu-Jitsu grappler, and boxer who has an estimated net worth of $2 million. Danis is best known for competing in mixed martial arts and professional grappling while also gaining widespread attention for his outspoken personality and controversial behavior outside the cage. He has competed in the [...] The post Dillon Danis Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Tue, 21 Jul 2026 23:41:22
Nina Agdal Net Worth
Nina Agdal is a Danish fashion model and entrepreneur who has an estimated net worth of $12 million. Agdal rose to international prominence in the late 2000s and early 2010s, becoming one of the most recognizable Danish models in the fashion and entertainment industries. She has appeared on the covers of several international magazines, including [...] The post Nina Agdal Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Tue, 21 Jul 2026 23:48:10
Lily Aldridge Net Worth
Lily Aldridge is an American fashion model and entrepreneur who has an estimated net worth of $8 million. Aldridge is best known for her successful modeling career and her time as a Victorias Secret Angel, a position she held from 2010 to 2018. She became one of the most recognizable faces associated with the Victorias [...] The post Lily Aldridge Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Tue, 21 Jul 2026 23:09:45
Bret Michaels Net Worth
Bret Michaels is an American rock singer, songwriter, reality television personality, and entrepreneur with an estimated net worth of $20 million. He is best known as the lead vocalist of the glam metal band Poison, one of the most successful rock groups to emerge from the 1980s. Michaels rose to fame during the peak of [...] The post Bret Michaels Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Tue, 21 Jul 2026 23:18:44
Rikki Rockett Net Worth
Rikki Rockett is an American rock musician who has an estimated net worth of $5 million. He is best known as the longtime drummer of the glam metal band Poison, one of the most commercially successful rock groups of the 1980s and 1990s. Rockett played a major role in Poisons rise to international fame. His [...] The post Rikki Rockett Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Tue, 21 Jul 2026 22:55:39
Serikali yakubali ukosoaji wa ufadhili elimu ya juu; yaweka mpango wa 'kufaidi wote'
WANAFUNZI wote watakaofuzu kujiunga na vyuo vikuu nchini watapata ufadhili kamili wa masomo kutoka kwa serikali iwapo pendekezo jipya la ufadhili wa elimu ya juu litapitishwa na Bunge. Rais William Ruto alitangaza hatua hiyo Jumanne katika Ikulu, akisema serikali imewasilisha mapendekezo ya marekebisho ya sheria yatakayowezesha kila mwanafunzi anayefaulu mtihani wa kitaifa na kupata nafasi katika chuo kikuu au taasisi ya elimu ya juu kufadhiliwa kikamilifu bila kujali hali ya kifedha ya wazazi wake. "Kwa sasa tuna pendekezo bungeni litakalowezesha elimu ya juu kuwa ya wote. Haitajali mtoto anatoka katika familia gani, bali uwezo wake kitaaluma. Mwanafunzi yeyote anayefaulu na kupata nafasi chuoni atapata ufadhili kamili," alisema Rais Ruto. Aliwahimiza wabunge kuharakisha kupitisha marekebisho ya sheria ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HELB) ili wanafunzi watakaoanza masomo Septemba mwaka huu wanufaike kwa mfumo huo mpya. Tangazo hilo linaashiria kuwa serikali inaweza kuachana na mfumo wa sasa wa ufadhili wa elimu ya juu ulioanzishwa mwaka wa 2023 ambao umekoselewa na wanafunzi, wazazi na wadau wa elimu. Rais alisema mfumo wa awali haukufaulu kwani ulisababisha vyuo vikuu vingi kukumbwa na matatizo ya kifedha baada ya serikali kushindwa kutoa kiwango cha fedha ilichoahidi. "Baadaye tukaanzisha mfumo wa usawa ambapo wazazi walichangia sehemu ya karo, serikali ikatoa sehemu kupitia ufadhili na sehemu nyingine kupitia mkopo. Tulidhani ungeleta usawa lakini umeonekana kutotosha," alisema. Aliongeza kuwa chini ya mfumo mpya, wazazi watakuwa na hiari ya kuchangia karo za watoto wao, lakini iwapo hawataweza kufanya hivyo, serikali itagharimia masomo yote. "Hatutaki mwanafunzi yeyote ashindwe kuendelea na masomo kwa sababu ya ukosefu wa fedha," alisema Rais. Hata hivyo, maelezo ya kina kuhusu mfumo huo bado hayajatolewa. Katibu wa Elimu ya Juu, Dkt Beatrice Inyangala, alisema pendekezo hilo bado linashughulikiwa kabla ya kuwasilishwa rasmi kwa wadau na Bunge. "Bado tunalifafanua na kulikamilisha. Ni mchakato unaohitaji muda," alisema. Mwenyekiti wa Kamati ya Makamu Wakuu wa Vyuo Vikuu vya Umma, Prof Daniel Mugendi, pia alisema bado hajapokea maelezo kamili ya mfumo huo. "Hatujapata maelezo ya kina. Yakikamilika tutashirikishwa kwa majadiliano zaidi," alisema. Changamoto ya ufadhili wa elimu ya juu imekuwa ikisumbua serikali kwa miaka kadhaa. Madeni ya vyuo vikuu vya umma yameongezeka kutoka takriban Sh60 bilioni mwaka wa 2022 hadi zaidi ya Sh85 bilioni sasa. Wakati huo huo, Mkurugenzi Mkuu wa HELB Geoffrey Monari amependekeza taasisi hiyo ipate fedha kupitia masoko ya kifedha kwa kutoa dhamana ya kijamii ya thamani ya Sh500 milioni ili kuhakikisha wanafunzi wanapata ufadhili kwa wakati. Kwa sasa, takriban 450,000 wanaonufaika na mikopo ya HELB wanaendelea kulipa mikopo yao, hali inayowezesha bodi hiyo kukusanya karibu Sh700 milioni kila mwezi. Mbali na mikopo, HELB hutenga Sh237 milioni kila mwaka kama ufadhili kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu, ambapo Sh137 milioni huenda kwa wanafunzi wa vyuo vikuu na Sh100 milioni kwa wanafunzi wa vyuo vya TVET.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Tue, 21 Jul 2026 22:25:57
Gachagua akemewa kwa kauli yake kwamba watalii wasije Kenya sababu ya wahuni
KAULI ya aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua ya kuwataka watalii na wawekezaji wa kigeni kusubiri hadi baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2027 kabla ya kuja Kenya imesolewa vikali serikalini, sekta ya utalii na hata baadhi ya washirika wake wa kisiasa. Akizungumza katika ibada ya kanisani mwishoni mwa wiki, Bw Gachagua alisema hali ya usalama nchini imezorota kutokana na ongezeko la ghasia za kisiasa na shughuli za makundi ya wahuni, akidai kuwa watalii na wawekezaji hawako salama. Kauli hiyo ilipingwa na Msemaji wa Serikali Isaac Mwaura, ambaye alisema utalii ni nguzo muhimu ya uchumi. Wakati huo huo, Rais William Ruto amekosoa Mahakama kwa kile alichosema ni kuwapa dhamana nafuu washukiwa wa uhalifu wanaotuhumiwa kuvuruga mikutano ya kisiasa, akisema hatua hiyo imechangia ongezeko la wahuni nchini. Akizungumza Ikulu, Nairobi, Jumanne, Rais alisema washukiwa wanaokamatwa kwa makosa ya jinai huachiliwa kwa dhamana ndogo na kurejea mitaani kuendelea na vitendo vyao. "Vijana wanaokamatwa kwa uhalifu hupelekwa mahakamani, wanapewa dhamana ya Sh200 na kuachiliwa kwa sababu ni watoto wetu. Kisha wanarudi katika mikutano ya kisiasa na kuendelea na vitendo vya kihuni," alisema Rais Ruto. Alisema Kenya lazima iwe na mjadala wa dhati kuhusu ongezeko la wahuni huku joto la kisiasa likizidi kupanda kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2027. Waziri wa Usalama wa Ndani Kipchumba Murkomen amesema uchunguzi unaendelea kubaini waliohusika na vurugu hizo.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Tue, 21 Jul 2026 21:52:02
Zelensky sacks Ukraine's top army commander after days of protests
Ukrainian President Volodymyr Zelensky has dismissed the countrys army commander-in-chief, Oleksandr Syrskyi. It comes just days after the removal of popular Defence Minister Mykhailo Fedorov a move that triggered street protests across the country. Initial rumours that the end of Fedorovs tenure was related to a conflict between him and Syrskyi were soon confirmed. [...] The post Zelensky sacks Ukraines top army commander after days of protests appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Tue, 21 Jul 2026 21:55:42
Kenya yageuzwa ngome ya wahuni sasa wakitumiwa kutwaa ardhi, biashara na mali
KENYA inaendelea kugeuka kuwa paradiso ya wahuni wanaotumiwa kutwaa ardhi, nyumba, biashara na mali nyingine huku amri za mahakama zikipuuzwa na mamlaka zikionekana kushindwa kuwalinda waathiriwa. Katika miaka ya hivi karibuni, makundi ya vijana wenye silaha yamekuwa yakihusishwa na uvamizi wa hospitali, kufurusha familia kutoka nyumba zao, kutwaa majengo ya biashara na kuzuia utekelezaji wa amri halali za mahakama. Mojawapo ya visa vinavyoibua wasiwasi ni kile cha Hospitali ya Nakuru War Memorial, ambayo imefungwa kwa zaidi ya miaka miwili licha ya mahakama kuagiza ifunguliwe tena. Msimamizi mkuu wa wauguzi wa hospitali hiyo, Patricia Musale, anasema mgogoro ulianza Oktoba 2023 alipopigiwa simu akiarifiwa kuwa kundi la watu lilikuwa limevamia hospitali likidai limechukua usimamizi wake. Alipofika, lango kuu lilikuwa limefungwa na akalazimika kuruka ua kuingia ndani. "Muda mfupi baadaye, maafisa wa kaunti walichukua udhibiti wa hospitali na wagonjwa wote wakaanza kuhamishwa. Kabla ya usiku wa manane, kila mgonjwa alikuwa ameondolewa, wakiwemo watoto waliokuwa kwenye mashine za kuwasaidia kupumua," alisema. Hospitali ilipata amri za mahakama za kufunguliwa tena lakini kabla ya kutekelezwa, kundi jingine la zaidi ya vijana 200 lilivamia eneo hilo Januari 2024 na kuzuia mtu yeyote kuingia. "Tulipata amri kadhaa za mahakama lakini kila tunapofika tunawakuta wahuni wamezingira lango. Hata polisi wakifuatana nasi hakuna kinachofanyika," alisema Bi Musale. Kwa zaidi ya miaka miwili sasa, vifaa vya matibabu vya thamani ya mamilioni ya pesa vimekaa bila kutumika huku wafanyakazi wengi wakipoteza ajira na wagonjwa waliokuwa wakitegemea huduma kama za figo na matibabu ya Virusi vya Ukimwi wakiteseka. Mzozo huo unatokana na mgogoro wa umiliki wa ardhi kati ya hospitali na Serikali ya Kaunti ya Nakuru. Mnamo Februari 2024, Jaji Mkuu Martha Koome alieleza wasiwasi kuhusu uvamizi huo na ukaidi wa amri za mahakama, lakini hadi leo hospitali haijafunguliwa. Kisa kingine kinachoonyesha jinsi wahuni wanavyotumiwa kutwaa mali ni cha mfanyabiashara Avan Shah wa Nairobi. Bi Shah anasema Novemba 2022 dalali aliwasili nyumbani kwake akiwa ameandamana na takriban watu 30 waliokuwa na mapanga na marungu. "Walidai wanatekeleza amri ya mahakama. Kabla hatujathibitisha stakabadhi walikuwa tayari wameanza kubomoa nyumba. Polisi walifika lakini hawakutusaidia," alisema. Familia hiyo ilifurushwa kutoka nyumba waliyoishi kwa karibu miaka 50 na hadi sasa haijarejea huku kesi ikiendelea mahakamani. Kamati ya Ardhi ya Bunge la Kaunti ya Nairobi baadaye ilibaini kuwa kulikuwa na dosari katika usimamizi wa rekodi za ardhi hiyo na kupendekeza hatua zichukuliwe dhidi ya maafisa waliohusika. Visa hivi vinaonyesha mwenendo unaozidi kushika kasi ambapo migogoro ya ardhi, biashara na mali haiamuliwi tena mahakamani pekee bali pia kwa nguvu za makundi ya wahuni. Katika maeneo mengi nchini, wahuni hutumiwa kuwafurusha wapangaji, kufunga njia za kuingia katika majengo yanayobishaniwa, kutwaa biashara na hata kuzuia utekelezaji wa amri za mahakama. Hata madalali wanasema mara nyingi hulazimika kufanya kazi katika mazingira ya vitisho na ghasia. Wakenya wengi wanaishi kwa hofu kwamba siku moja wanaweza kupokonywa nyumba, biashara au ardhi yao kwa nguvu licha ya kuwa na haki kisheria. Kwa wengi, hali hiyo inaashiria hatari kubwa kwa utawala wa sheria, ambapo nguvu za makundi ya wahuni zinaanza kushinda mamlaka ya mahakama katika kuamua nani anamiliki mali nchini.
read morestandardmedia.co.ke
@standard Tue, 21 Jul 2026 22:00:00
He arrived alive in Subaru, but...: CCTV reveals Albert Ojwang's final hours at Central's cell of death
CCTV footage captured Ojwang arriving at the station alive and walking normally before later being removed from the cells unresponsive.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Tue, 21 Jul 2026 21:41:10
Tokyo urges men to wear shorts to work, but some women say it's 'leg hair harassment
As temperatures rise this summer, Japanese men are baring more leg at work than ever before. The Tokyo Metropolitan Government is pushing company employees to ditch their usual suit and tie for more casual attire, featuring t-shirts, trainers and shorts. Tokyo Governor Yuriko Koike introduced Tokyo Cool Biz in April, hoping to expand on [...] The post Tokyo urges men to wear shorts to work, but some women say its leg hair harassment appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Tue, 21 Jul 2026 21:45:58
Ethiopian police arrest alleged leader of multi-million-dollar trafficking ring
Police in Ethiopia say they have arrested 17 suspects including the alleged leader of what they say is a multi-million-dollar international human trafficking network. The gang is accused of the deaths of 60 migrants, sexually abusing many women, and torturing Ethiopian migrants in Yemen allegedly collecting more than 1bn Ethiopian birr ($6.1m; £4.6m) from [...] The post Ethiopian police arrest alleged leader of multi-million-dollar trafficking ring appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Tue, 21 Jul 2026 21:49:00
Iran war has cost US $37.5bn so far, Hegseth says, as Pentagon seeks billions more
The war with Iran has cost the US some $37.5bn (£28bn) so far an increase of nearly $8bn since the last estimate in May, Defence Secretary Pete Hegseth said. Hegseth told the Senate Appropriations Committee it was urgent that lawmakers approve another $87bn in congressional funding for the Pentagon, with $67bn of that destined [...] The post Iran war has cost US $37.5bn so far, Hegseth says, as Pentagon seeks billions more appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Tue, 21 Jul 2026 16:31:12
Gachagua blasts Ruto's anti-goon directive, calls It 'hypocrisy'
Former Deputy President Rigathi Gachagua on Tuesday criticised President William Ruto's directive ordering police to crack down on criminal gangs, accusing the Head of State of presiding over what he described as "state-sponsored goonism." Gachagua's remarks came hours after President Ruto directed security agencies to deal firmly with gangs and criminal elements terrorising Kenyans, saying [...] The post Gachagua blasts Ruto's anti-goon directive, calls It 'hypocrisy' appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Tue, 21 Jul 2026 16:34:33
Sh11,798 Burden: Moi Gesusu Parents in Kisii Pay Price as Dorm Fire Forces Longer Closure
Parents of students at Moi High School Gesusu in Masaba South, Kisii County, will shoulder the cost of rebuilding a dormitory destroyed by fire after the school's Board of Management extended the institution's closure until the start of the third term. In a notice to parents and guardians dated July 21, the Extra County school [...] The post Sh11,798 Burden: Moi Gesusu Parents in Kisii Pay Price as Dorm Fire Forces Longer Closure appeared first on Kahawatungu.
read moreRight Column Content