kenyanews.go.ke
@kna Wed, 08 Jul 2026 10:25:52
Farmers embrace indigenous knowledge to strengthen food security amid climate change
Smallholder farmers in Nakuru County are increasingly turning to indigenous knowledge, traditional seeds and agroecological practices to cope with unpredictable weather patterns and improve food security amid growing climate change challenges. Experts say preserving indigenous seeds and traditional farming methods is no longer just a cultural practice but a critical strategy for building resilient food...
read morekenyanews.go.ke
@kna Wed, 08 Jul 2026 10:28:53
Environmental Health Union issues strike notice to Kakamega County Government
Kenya Environmental Health Practitioners Health and Public Union (KEHPHPU) has given the County Government of Kakamega a three-day ultimatum to sign a Recognition Agreement with the union or else brace an industrial action. The Secretary General and Chief Executive Officer of the Union, Brown Ashira Olaly spoke in Kakamega after a meeting convened by the...
read morekenyanews.go.ke
@kna Wed, 08 Jul 2026 10:33:02
How e-bikes are making inroads in rural Kenya
The familiar roar of petrol-powered motorcycles is slowly giving way to a quieter hum across the streets of Nyeri. As fuel prices continue to soar and Kenyans search for affordable transport alternatives, electric motorbikes are emerging as a practical solution, offering riders lower operating costs, reduced maintenance expenses, and a cleaner environment. The transition from...
read morekenyanews.go.ke
@kna Wed, 08 Jul 2026 10:36:07
Africa urged to scale proven solutions to end preventable maternal, child deaths
African governments have been urged to move beyond policy development and accelerate the implementation of proven interventions to reduce preventable maternal, newborn and child deaths through stronger political commitment, sustainable financing and greater accountability. Speaking on behalf of Tanzanian President Samia Suluhu Hassan, the African Union Champion for Maternal and Child Health, Presidential Adviser and...
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Wed, 08 Jul 2026 10:12:38
Chama cha Uanahabari chawasha taa ya vipaji Kairi Boys
CHAMA cha Uanahabari katika Shule ya Upili ya Kairi Boys, Gatundu Kaskazini, Kaunti ya Kiambu, kinaendelea kuwa chombo muhimu cha kuwakuza wanafunzi kitaaluma na kitalanta huku kikiwafungulia milango katika fani zinazohusiana na lugha na mawasiliano. Pamoja na kukuza vipaji vya wanafunzi katika sanaa hizo anuwai, chama hicho pia kinawapa msukumo wa kujitosa katika ualimu, tafsiri, upigaji picha na uhariri wa vitabu, video na filamu. Isitoshe, kinalenga kuimarisha umilisi wa Kiswahili na Kiingereza ili kuwajenga wanafunzi wenye uwezo wa kujieleza kwa ufasaha kimazungumzo na kimaandishi. [caption id="attachment_189899" align="alignnone" width="2560"] Baadhi ya walimu wa Shule ya Upili ya Kairi Boys iliyoko Gatundu Kakazini, Kaunti ya Kiambu, walipojumuika kwa picha ya pamoja.[/caption] Wanachama hukutana baada ya vipindi vya masomo mchana kutwa ili kujadili mikakati ya kuendeleza chama na kukipa nguvu zaidi. Aidha, chama kinatarajia kuanzisha kitengo cha uigizaji na kuzindua jarida rasmi la shule mwaka ujao, hatua itakayowapa wanafunzi jukwaa maridhawa la kuonyesha ubunifu wao katika uandishi na sanaa nyinginezo. Mafanikio ya chama tayari yanaonekana. Wanafunzi wanaoshiriki shughuli zake kikamilifu wamekuwa wakifaulu vyema katika mitihani ya Kiswahili na Kiingereza huku wakionyesha kujiamini zaidi katika mawasiliano na shughuli tofauti za shule. Mlezi wa chama, Bi Doreen Kathurima, anaungama kuwa chama hicho kimechangia pakubwa maendeleo ya wanafunzi na kimekuwa chanzo cha mabadiliko muhimu shuleni. "Mbali na kupiga jeki shughuli za Idara ya Lugha, chama hiki kinakuza maadili na kuboresha matokeo ya KCSE. Pia tumeshuhudia maendeleo makubwa katika ulumbi, utunzi wa mashairi na utangazaji wa habari miongoni mwa wanachama," anaeleza. [caption id="attachment_189900" align="alignnone" width="2560"] Wanafunzi wa Shule ya Upili ya Kairi Boys wakifuatilia kwa makini matukio na mawasilisho mbalimbali wakati wa hafla ya kielimu waliyoiandaa. PICHA ZOTE | RICHARD MAOSI[/caption] Mwalimu Mkuu, Bw Anthony Mwaria, anakiri kuwa chama hicho kinawaandaa wanafunzi kwa ajili ya maisha ya baadaye. "Chama hiki ni jukwaa linaloamsha hamu ya wanafunzi kujitosa katika ulingo wa uanahabari na taaluma nyingine zinazofungamana na lugha. Vilevile kinawalea na kuwakuza ipasavyo ili wawe watafiti na waandishi wabunifu wenye uwezo wa kushindana kimataifa," anasema. Kwa upande wake, Mkuu wa Idara ya Ushauri Nasaha, Bi Norah Biyaki, anasisitiza kuwa nidhamu na kujituma kwa wanafunzi ni msingi wa mafanikio ya chama. "Tunawahimiza wanafunzi kuwa na ari ya kujifunza, nidhamu ya hali ya juu na moyo wa kujituma ili waweze kufaidika kikamilifu na fursa tofauti zinazotolewa na chama hiki," akasema Bi Biyaki katika kauli inayotiliwa mkazo na Naibu Mwalimu Mkuu, Bw Michael Ngari. Kupitia shughuli zake, Chama cha Uanahabari shuleni Kairi Boys kinaendelea kuwajenga wanafunzi kuwa wataalamu, viongozi na wasanii wa kesho.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Wed, 08 Jul 2026 10:30:12
Misri wafokea Fifa kwa 'ukora' katika mechi dhidi yao na Argentina
KOCHA wa Misri Hossam Hassan amesema hana nia ya kutazama mechi zilizosalia za Kombe la Dunia akisema refa alichangia timu hiyo kubanduliwa na Argentina mnamo Jumanne usiku. Katika mechi nyingine, Uswizi walibandua Colombia 4-3 kupitia mikwaju ya penalti na kufuzu robo fainali. Timu hizo zilikuwa zimeagana sare tasa muda wa kawaida na ule wa ziada kabla ya kuamuliwa na mikwaju ya penalti. Sasa Argentina na Uswizi zitachuana katika robo fainali wikendi hii huku Misri na Colombia zikiaga kombe. Misri walikuwa wakiongoza 2-0 zikiwa zimesalia dakika 11 mechi iishe katika raundi ya 16 dhidi ya Argentina. Kwa masikitiko walifungwa mabao matatu na ikabidi waage mashindano hayo ya hadhi ya soka. [caption id="attachment_189904" align="alignnone" width="2560"] Mshambuliaji nyota wa Argentina Lionel Messi ashangilia kufunga bao la kusawazisha dhidi ya Misri katika mechi ya 16-bora uga wa Atlanta, jimbo la Georgia, Amerika, Julai 7, 2026. Argentina ilishinda mechi 3-2. Picha|Reuters[/caption] Mkongwe Lionel Messi aling'ara katika mechi hiyo na kutumia uweledi wake kuhakikisha Argentina inatinga robo fainali. Hassan alilalamika kuwa walionewa na hana nia ya kutazama mechi zilizosalia za kombe la dunia. "Naenda nyumbani na sitatazama mechi hizo kwa sababu kilichotutendekea si haki. Tulistahili kupewa penalti, bao letu lilikataliwa na sijui kwa nini lilikataliwa," akasema akionekana mwenye hasira. Egypt walifunga bao dakika ya 62 kupitia Mostafa Zico lakini VAR iliangalia na kutambua kuwa kulikuwa na mpira wa ikabu kwa Argentina kuelekea kufungwa kwa bao hilo. Pia Misri walilia kwamba walistahili kupewa penalti baada ya Hamdy Fathy kuangushwa ndani ya kijisanduku. Hasira yao ilipanda kwa kuwa baada ya tukio hilo kwa kuwa Argentina waliendelea kucheza na kufunga bao dakika ya 92 kupitia Messi. "Mimi huwa sipendi kushindwa na kama kupoteza kwangu kumechangiwa na refa jinsi ilivyofanyika hivi leo, nawaambia tu mashabiki wetu wasikasirike. Tulicheza vizuri sana na kushindwa kwetu kumechangiwa na refa," akaongeza. Hassan alisema alifurahi kuwa wachezaji wake walifuata mwongozo wake mchezoni na waliwalemea Argentina. Misri wamekuwa wakitumia mbinu ya kulinda ngome yao mchezoni lakini dhidi ya Argentina walikuwa wakivamia hasa kupitia mipira mirefu na pia pembeni. Pia mnyakaji wao Mostafa Shoubir alionyesha uweledi wa juu baada ya kuokoa mikwaju hatari ya Argentina. "Najivunia sana wachezaji wangu kwa sababu wengi wao wanacheza kwenye Ligi Kuu ya Misri nao wapinzani wetu walikuwa na wachezaji wanaoshiriki ligi za kifahari za Ulaya," akaongeza. Colombia nao watajilaumu wenyewe baada ya nyota wa Bayern Luis Diaz na wenzake kukosa nafasi kadhaa za kufunga na kumaliza mchezo mapema. Kipa wa Uswizi Gregor Kobela aliokoa penalti ya Cucho Hernandez baada ya ile ya Davinso Sanchez kugonga mtambapanya kwa Columbia. Manuel Akanji pia alikosa penalti kwa upande wa Uswisi.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 09:35:23
What to know about the total solar eclipse due in August
Day will briefly turn into night across a swathe of northern Spain on August 12, when the Moon will completely cover the Sun during a rare total solar eclipse. Here is what you need to know about the total eclipse, which is the first visible in mainland Europe since 2006. What is an eclipse? [...] The post What to know about the total solar eclipse due in August appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 09:41:09
South Sudan medical evacuations rise as conflict intensifies:ICRC
Medical evacuations of wounded South Sudanese rose by 50 percent in the first half of 2026, the International Committee of the Red Cross said on Tuesday, as deadly conflict continued to limit access to healthcare in the country. The worlds youngest nation has endured months of renewed violence since late 2025, with government forces loyal [...] The post South Sudan medical evacuations rise as conflict intensifies:ICRC appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 09:50:15
DCI launches probe into Sh6.2 billion government payroll fraud after audit exposes widespread irregularities
The Directorate of Criminal Investigations (DCI) has launched investigations into a suspected Sh6.2 billion payroll fraud after Public Service Cabinet Secretary Geoffrey Ruku formally handed over a special audit report detailing widespread irregularities in the Government payroll system. Speaking during the handover at the Ministry of Public Service offices in Nairobi on Tuesday, Ruku said [...] The post DCI launches probe into Sh6.2 billion government payroll fraud after audit exposes widespread irregularities appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 09:52:20
How Safaricom Is Investing in Communities
For many companies, community investment is measured by the amount donated to charity. Safaricom is increasingly measuring it by something different: the long-term economic opportunities it creates. As the telecommunications giant evolves into a technology company, it is also expanding its investment in education, healthcare and digital inclusion, reflecting a strategy that ties commercial growth [...] The post How Safaricom Is Investing in Communities appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 09:28:44
US prosecutors arrest 24 in major probe into India-based organised crime
US prosecutors have announced the arrest of 24 suspects in the US, Canada and Europe for alleged links to three India-based organised crime groups, including the Bishnoi gang. They have been charged with a series of crimes, including orchestrating the 2023 killing in Canada of Sikh leader Hardeep Singh Nijjar outside a British Columbia temple. [...] The post US prosecutors arrest 24 in major probe into India-based organised crime appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Wed, 08 Jul 2026 08:58:01
Jinsi ya kulima maparachichi ya masoko ya ng'ambo
KILIMO cha maparachichi kimekuwa miongoni mwa biashara zenye faida kubwa nchini Kenya kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya matunda hayo katika masoko ya ndani na nje ya nchi. Masoko ya kimataifa, yaani ng'ambo, yamekuwa yenye mvuto mkubwa kwa maparachichi, maarufu kama avokado. Bara Uropa, nchi za Milki ya Kiarabu (UAE) na Asia ndio wanunuzi wakuu wa avokado za Kenya. Ili kupata mavuno bora, mkulima anapaswa kuanza kwa kuchagua miche bora iliyothibitishwa kutoka kwa vitalu vinavyoaminika, anashauri Daniel Mwenda, mtaalamu. "Aina maarufu zinazopendekezwa ni Hass na Fuerte kutokana na ubora wa matunda na soko lake," Mwenda anasema. Maparachichi hustawi katika maeneo yenye mvua ya wastani hadi nyingi, udongo wenye rutuba na usiotuamisha maji. Kabla ya kupanda, Mwenda anasema hatua ya kwanza ni kuandaa shimo lenye ukubwa wa karibu sentimita 60 kwa 60 na kuchanganya udongo wa juu na samadi 'iliyooza' vizuri. "Miche ipandwe kwa nafasi ya mita saba hadi nane kati ya mti na mti ili kutoa nafasi ya ukuaji," anashauri mtaalamu huyo. [caption id="attachment_189894" align="aligncenter" width="300"] Maparachichi ya John Mburu, mkulima kutoka Gatundu Kusini, Kaunti ya Kiambu yakipimwa uzani. Picha|Sammy Waweru[/caption] Miaka ya mwanzo, ni muhimu kumwagilia miche maji hasa wakati wa kiangazi, kuweka nyasi za matandazo (mulching) ili kuhifadhi unyevuunyevu na kupunguza magugu, pamoja na kuondoa matawi yaliyokauka au kuathirika na magonjwa. John Mburu ni mkulima wa avokado Gatundu Kusini, Kaunti ya Kiambu na anasema amekumbatia matumizi ya mbolea asili na fatalaiza. "Mahitaji ya mbolea kwenye udongo, mkulima anapaswa kushirikisha mtaalamu ili upimwe kwenye maabara kujua virutubisho vinavyohitajika," mkulima huyo anasema. Wakulima wanapaswa pia kufuatilia wadudu na magonjwa, na kukabiliana na athari hizo kwa mujibu wa vigezo na dawa zilizoidhinishwa kwa minajili ya mazao yanayouzwa nje ya nchi. "Matumizi ya mbinu bora za usimamizi wa mazao, ikiwemo usafi wa shamba na ushauri wa maafisa wa nyanjani, husaidia kupunguza hasara," mtaalamu Mwenda anahimiza. [caption id="attachment_189895" align="aligncenter" width="300"] Mfanyakazi katika kampuni ya Soko Fresh, Thika akikagua avokado zinazooshwa ili kuuzwa nje ya Kenya. Picha|Sammy Waweru[/caption] Mparachichi huanza kuzaa baada ya miaka miwili hadi mine – hilo likitegemea aina ya mche na usimamizi wa shamba. Matunda yanapaswa kuvunwa kwa uangalifu kwa kutumia vifaa vinavyofaa ili kuepuka majeraha yanayoweza kupunguza ubora wake. Kwa wakulima wanaolenga soko la nje, ni muhimu kufuata viwango vya ubora kama GlobalG.A.P., kuhakikisha matunda yanachambuliwa vizuri na kuhifadhiwa katika mazingira yanayodumisha ubora wake.
read morekenyanews.go.ke
@kna Wed, 08 Jul 2026 08:42:05
Girls urged to enroll in TVET and blue economy courses to bridge gender gap
Girls in Mombasa County have been encouraged to enroll in Technical and Vocational Education and Training (TVET) institutions and pursue traditionally male-dominated courses, particularly those related to the blue economy, as part of efforts to empower the girl child and bridge the gender gap in technical careers. Speaking during a career symposium held at Tononoka...
read morekenyanews.go.ke
@kna Wed, 08 Jul 2026 08:44:53
Activists demand police accountability, justice during Saba Saba commemoration in Mombasa
Hundreds of residents in Mombasa marked the Saba Saba commemoration with a peaceful procession and petitioned the government to address concerns over alleged police brutality, enforced disappearances, arbitrary arrests, unlawful killings and excessive use of force during public demonstrations. The activists presented their petition to the government, calling for stronger accountability mechanisms and urging state...
read morekenyanews.go.ke
@kna Wed, 08 Jul 2026 08:48:02
Kedogo applauds transformation at Vihiga Teaching and Referral Hospital
Former National Cohesion and Integration Commission (NCIC) Deputy Chairperson and former Vihiga County Woman Representative Dorcas Kedogo has commended the ongoing transformation at Vihiga Teaching and Referral Hospital (VTRH), describing the changes as a major step towards improving healthcare delivery in the region. Kedogo made the remarks during a courtesy visit to the facility on...
read morekenyanews.go.ke
@kna Wed, 08 Jul 2026 08:50:33
Ministry kick-starts preparations for the Presidential National Health Summit 2026
The Ministry of Health has officially commenced preparations for the Presidential National Health Summit 2026 following the inaugural meeting of the National Planning Committee chaired by Cabinet Secretary (CS) for Health Aden Duale. The Summit will serve as a landmark national platform bringing together leaders and stakeholders from across the health sector to review Kenya's...
read moreRight Column Content