kahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 23:03:22
Shania Twain Net Worth
Shania Twain is a Canadian singer-songwriter with an estimated net worth of $400 million. Often called the Queen of Country Pop, Twain is one of the best-selling music artists in history, having sold more than 100 million records worldwide. Her wealth comes from record sales, sold-out world tours, songwriting royalties, Las Vegas residencies, endorsements, and [...] The post Shania Twain Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 23:12:12
Mutt Lange Net Worth
Mutt Lange is a Zambian-born British record producer and songwriter with an estimated net worth of $225 million. Widely regarded as one of the most successful music producers in history, Lange has helped create some of the best-selling albums ever recorded. His work with artists including AC/DC, Def Leppard, Bryan Adams, Shania Twain, Maroon 5, [...] The post Mutt Lange Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 23:18:54
Rick Allen Net Worth
Rick Allen is an English drummer with an estimated net worth of $50 million. Best known as the longtime drummer for the legendary rock band Def Leppard, Allen has enjoyed a career spanning more than four decades. Despite losing his left arm in a devastating car accident in 1984, he returned to the stage using [...] The post Rick Allen Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Mon, 20 Jul 2026 22:55:50
Ruto arejea nyumbani kujitetea, anuia kurejesha ufuasi unaodaiwa kudidimia
RAIS William Ruto anatarajiwa kuzuru eneo la Kusini mwa Bonde la Ufa wiki ijayo huku kukiwa na malalamishi yanayoongezeka kutoka kwa wakazi wanaodai serikali yake imepuuza eneo hilo licha ya kuwa ngome yake kuu ya kisiasa. Kwa miaka mingi, kaunti za Bomet, Kericho pamoja na sehemu za Narok na Nakuru zimekuwa ngome ya Rais Ruto. Hata hivyo, miaka minne baada ya kuingia mamlakani, baadhi ya wakazi na viongozi wa mashinani wanasema ahadi nyingi za maendeleo hazijatekelezwa, huku miradi mikubwa ikipelekwa katika maeneo yaliyounga mkono upinzani. Malalamishi hayo yalijitokeza wazi baada ya viongozi kutoka Kusini mwa Bonde la Ufa kumtembelea aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua nyumbani kwake Wamunyoro, Nyeri, wakidai jamii ya Kipsigis imetengwa kimaendeleo, ajira na uteuzi wa nyadhifa serikalini. Bw Gachagua alitabiri kuwa Rais Ruto angelazimika kuzuru eneo hilo kutuliza hali, jambo ambalo sasa limethibitishwa na Waziri wa Usalama wa Ndani Kipchumba Murkomen na Kiongozi wa Wengi katika Seneti Aaron Cheruiyot. Bw Murkomen alisema rais atazindua na kukagua miradi ya barabara, maji na nyumba za gharama nafuu, huku akisisitiza kuwa madai ya kutengwa kwa eneo hilo hayana msingi. "Rais atafika Kusini mwa Bonde la Ufa kuzindua miradi ya maendeleo ikiwemo barabara, maji na nyumba za gharama nafuu. Sote tujitokeze kumpokea," akasema Bw Murkomen katika Shule ya Upili ya Tenwek. "Kumekuwa na malalamishi kutoka kwa watu ambao hawaelewi miradi ambayo serikali imetekeleza eneo hili. Serikali imefanya mengi na itaendelea kufanya mengi siku zinazokuja," akaongeza. Bw Cheruiyot pia alisema ziara hiyo itaonyesha miradi iliyofadhiliwa na serikali na kuzima madai kuwa Kusini mwa Bonde la Ufa imepuuzwa. "Wiki chache zijazo, Ras atakuwa hapa kuzindua miradi ya maendeleo na kuzima madai kuwa eneo hili limetengwa," akasema Bw Cheruiyot katika hafla ya umma Bomet. Hata hivyo, wakazi wengi wanasema hali halisi ni tofauti. Wanalalamikia kucheleweshwa kwa miradi muhimu kama Bwawa la Bosto, fidia na makazi ya zaidi ya familia 21,000 zilizoondolewa katika Msitu wa Mau, pamoja na barabara kadhaa ambazo zimekwama kwa miaka licha ya ahadi za serikali. Barabara ambazo zimetajwa ni pamoja na Chebole–Siongiroi–Chebunyo, Silibwet–Kiptagich–Olenguruone na Sotik–Cheplanget–Roret, ambazo wakazi wanasema ziko katika hali mbaya. Pia kuna malalamishi kuhusu kusimama kwa ujenzi wa Uwanja wa Riadha ya Bomet, pamoja na kucheleweshwa kwa upanuzi wa viwanja vya ndege vya Kerenga na Itembe. Mzozo wa ardhi wa Angata Barikoi nao umeongeza hasira za wakazi. Baadhi yao wanadai kuna njama za kuwanyang'anya ardhi waliyoimiliki kwa muda mrefu, huku wakilaumu serikali kwa kutumia polisi badala ya kutafuta suluhu. Mzozo huo ulivuta hisia za kitaifa baada ya watu sita kuuawa wakati wa maandamano. Ukosefu wa ajira pia ni chanzo kingine cha malalamishi. Vijana wanadai nafasi za kazi katika taasisi za serikali sasa zinauzwa ilhali hawana maelfu ya pesa zinazoitishwa. Hivi majuzi watu wanne walifikishwa mahakamani Bomet wakituhumiwa kuuza barua bandia za ajira za Tume ya Kuwaajiri Walimu (TSC). Bw Gachagua ameendelea kutumia hali hiyo kuishutumu serikali, akidai jamii ya Kipsigis imewekwa kando licha ya kumuunga mkono Rais Ruto kwa dhati mnamo 2022. Ziara ya rais katika South Rift inatarajiwa kuwa mtihani muhimu wa kisiasa huku akijaribu kurejesha imani ya ngome yake ya kisiasa.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 22:22:55
Safaricom CFO Esther Waititu to Exit Company at End of July
Safaricom has announced that its Chief Financial Services Officer, Esther Waititu, will leave the company on 31 July 2026 to pursue other opportunities, ending a three-year stint during which she oversaw the rapid evolution of M-PESA into a broader digital financial services ecosystem. In an internal communication to employees, Group CEO Peter Ndegwa credited Waititu [...] The post Safaricom CFO Esther Waititu to Exit Company at End of July appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 22:34:41
Jack Welch Net Worth
Jack Welch was an American business executive who had an estimated net worth of $650 million at the time of his death in 2020. Best known for leading General Electric (GE) for two decades, Welch transformed the company into one of the worlds most valuable corporations. During his tenure as chairman and CEO, GEs market [...] The post Jack Welch Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 22:43:08
Jeffrey Immelt Net Worth
Jeffrey Immelt is an American business executive with an estimated net worth of $150 million. Immelt is best known for serving as the chairman and chief executive officer of General Electric (GE) from 2001 to 2017. He succeeded legendary CEO Jack Welch and led the company through one of the most challenging periods in its [...] The post Jeffrey Immelt Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 21:47:08
US launches fresh strikes on Iran, as Trump warns of retaliation for deaths of soldiers
The US military said it launched another round of strikes against Iran to further degrade its capabilities to attack ships in the Strait of Hormuz. The strikes the 10th consecutive night of attacks come after US President Donald Trump vowed to punish Iran for the deaths of US soldiers, two of whom have [...] The post US launches fresh strikes on Iran, as Trump warns of retaliation for deaths of soldiers appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 21:50:32
'Anti-ICE' Army veteran sets fire outside Manhattan federal building, say officials
A former US Army soldier has been arrested after igniting a fire in front of a federal building in New York City, says the FBI. Andrew Arrabaca, 43, allegedly shot a pellet gun and set off fireworks on Monday morning at 26 Federal Plaza, where the FBI, Immigration and Customs Enforcement (ICE), and US Citizenship [...] The post Anti-ICE Army veteran sets fire outside Manhattan federal building, say officials appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 21:53:47
Tate brothers appear in US court for extradition proceedings
Controversial influencer Andrew Tate and his brother Tristan have appeared in a federal courtroom in Miami, marking the beginning of extradition proceedings to the UK over a slate of new charges that includes rape and sex trafficking. Speaking outside the court after the hearing, a lawyer for the brothers said they would fight extradition. The [...] The post Tate brothers appear in US court for extradition proceedings appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Mon, 20 Jul 2026 21:55:13
Wahuni wa wakubwa? Hakuna aliyekamatwa kwa ghasia Ol Kalou licha ya ufichuzi
ZAIDI ya siku nne baada ya ghasia zilizoshuhidiwa katika uchaguzi mdogo wa ubunge wa Ol Kalou, hakuna mwanasiasa, mfadhili au mmiliki wa magari yanayodaiwa kutumiwa na watu wenye silaha walioficha nyuso zao ambaye amekamatwa au kuhojiwa. Hali hii imezua maswali kuhusu iwapo wanasiasa wanaochochea vurugu wako juu ya sheria licha ya visa vya uhuni kushuhudiwa peupe. Siku ya uchaguzi, Julai 16, maelfu ya wapigakura walikumbana na kundi la wanaume waliovalia barakoa waliokuwa wakizunguka kwa magari ya kifahari, wakifyatua risasi hewani, kurusha vitoza machozi na kuwashambulia wapigakura, wanahabari na hata baadhi ya maafisa wa polisi. Uchunguzi uliofichua yaliyotokea unaonyesha magari hayo yalikuwa na nambari za usajili zinazozua utata. Miongoni mwao ni Toyota Land Cruiser yenye nambari KDL 477Q, ambayo rekodi za Mamlaka ya Kitaifa ya Uchukuzi na Usalama Barabarani (NTSA) zinaonyesha imesajiliwa kwa jina la John Njuguna Wanjiku, jina ambalo ni sawa na la Mbunge wa Kiambaa anayejulikana kama Ka-Wanjiku. Mbunge huyo alikiri kuwa gari lake lilikuwa Ol Kalou lakini akakanusha kuhusika katika vurugu zozote za uchaguzi. Aidha, gari jingine lililotumiwa na watu hao lilikuwa na nambari KDW 600Q, ilhali rekodi za NTSA zinaonyesha nambari hiyo imesajiliwa kwa gari aina ya Toyota Probox linalomilikiwa na kampuni ya Vipingo Industries. Kampuni hiyo ilisema haina Land Cruiser nyeusi, hali inayoashiria matumizi ya nambari bandia. Licha ya ushahidi huo na video zilizosambaa zikionyesha vurugu, polisi walikuwa bado hawajawahoji wamiliki wa magari hayo wala watu waliorekodiwa wakihusishwa na utoaji rushwa na makosa mengine ya uchaguzi. Uchunguzi wa Idara ya Upelelezi nchini (DCI) pia unaonekana kukwama. Kikosi maalumu kutoka makao makuu ya DCI Nairobi kilikuwa bado hakijaanza kazi rasmi huku kikisubiri malalamishi yaandikwe na waathiriwa. Duru kutoka DCI zilisema wachunguzi wanahitaji kwanza kupata taarifa zilizonakiliwa katika vituo vya polisi kabla ya kuwaita walalamishi kutoa ushahidi. Maafisa hao pia wanatarajiwa kuchunguza maandalizi ya kiusalama yaliyowekwa kabla ya uchaguzi huo mdogo. Kabla ya upigaji kura, Inspekta Jenerali wa Polisi Douglas Kanja alikuwa ametangaza kuwa zaidi ya maafisa 1,000 walikuwa wametumwa Ol Kalou kuimarisha usalama. Wachunguzi wanatarajiwa kukagua taarifa za kijasusi, picha za kamera za CCTV na mienendo ya magari yaliyonaswa kwenye kamera yakizunguka eneo hilo ili kubaini waliohusika. Kampeni za uchaguzi huo mdogo pia ziligubikwa na ghasia huku upinzani na serikali wakirushiana lawama. Mnamo Julai 12, lori la kampeni la mgombea wa DCP lilivamiwa na kuchomwa moto katika eneo la Chokereria na watu waliokuwa na silaha. Mkazi wa Ol Kalou, John Kuria, alisema yeye ni mmoja wa walionusurika katika kisa hicho. "Walikuwa wamejihami kwa bunduki na waliturushia vitoza machozi kabla ya kutushambulia. Tunataka waliohusika wakamatwe na kufikishwa mahakamani," akasema Bw Kuria. Siku moja kabla ya uchaguzi, gari la Mbunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) Kanini Kega pia lilivamiwa, huku polisi wakipata risasi iliyotumika katika eneo la tukio. Wanahabari nao hawakusazwa. Katika kituo cha kupiga kura cha Shule ya Msingi ya AC, watu sita waliokuwa wamevaa barakoa waliwashambulia wanahabari wa kampuni ya Nation Media Group (NMG) na kuwaibia vifaa vya kazi. Mpigapicha wa NTV, George Kieru alipokonywa kamera na kupigwa, huku mwandishi Fabiola Akinyi akinyang'anywa simu kwa kutishiwa bunduki. "Walifika kwa magari ya kifahari, wakaanza kutushambulia na kulazimisha George kufuta picha kabla ya kumpora kamera," alisema Mhariri wa NMG Kanda ya Kusini mwa Bonde la Ufa Brygettes Ngana. Bw Kieru alisema alipigwa hadi kujeruhiwa mkono na mgongo, huku Bi Akinyi akieleza kuwa alielekezewa bunduki tumboni kabla ya kuporwa simu yake. Mpiga picha wa gazeti la Star Enos Teche pia alivamiwa na kuibiwa kamera alipokuwa akirekodi ghasia karibu na Shule ya Msingi ya St Joseph's Catholic. Mkurugenzi wa DCI, Amin Mohamed alisema uchunguzi utawalenga waliotekeleza uvamizi na waliopanga, kufadhili na kuchochea vurugu hizo. Kwa upande wake, Waziri wa Usalama wa Ndani Kipchumba Murkomen amesema hakuna atakayesazwa iwapo atapatikana na hatia, iwe ni mwanasiasa, afisa wa usalama au mtumishi wa serikali. Hata hivyo, viongozi wa dini, asasi za kiraia, vyombo vya habari na wanasiasa wa upinzani wanasema hatua hizo zitakuwa na maana tu ikiwa waliohusika watafikishwa mahakamani. Kiongozi wa DP Justin Muturi alionya kuwa vurugu za Ol Kalou zinaweka msingi hatari kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027. Licha ya mazingira hayo ya hofu na vitisho, mgombea wa DCP Sammy Kamau alishinda uchaguzi huo kwa kura 35,440, akimshinda mgombea wa UDA Samuel Nyagah, aliyepata kura 5,450. Sasa macho yote yanaelekezwa kwa DCI kuona kama uchunguzi huo utawagusa waliohusika kupanga na kufadhili ghasia hizo au utaishia kwa wavamizi wa kawaida pekee.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 21:42:25
Trump slaps 50% tariffs on Canada and Carney vows to 'intensify' trade talks
US President Donald Trump imposed a 50% tariff on a wide range of goods imported from Canada, in retaliation for what he called unequal treatment of US cars, dairy and alcohol. Everyday consumer items like wine and hockey sticks and industrial goods such as cement are among the goods targeted. However, several key exports will [...] The post Trump slaps 50% tariffs on Canada and Carney vows to intensify trade talks appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 19:06:43
Jubilee urges leaders to protect Kenya's economy amid political differences
The Jubilee Party urged political leaders to exercise restraint in their public statements, warning that calls discouraging tourism and foreign investment could harm millions of Kenyans whose livelihoods depend on the country's economy. In a statement issued on Monday, Secretary General Moitalel Ole Kenta said the party had noted recent remarks urging international tourists and [...] The post Jubilee urges leaders to protect Kenya's economy amid political differences appeared first on Kahawatungu.
read moreRight Column Content