kenyans.co.ke
@kenyans Sat, 11 Jul 2026 00:45:03
Question Emerge After Iran State Media Warns Kenya Could Join U.S., Israel War
Despite the allegations, neither the Kenyan government nor the Nigerian government has issued an official response to the claims made by the leading Iranian broadcaster.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Fri, 10 Jul 2026 23:48:07
Boy killed in bomb explosion in Baringo
Police in Baringo County are investigating an incident in which a 15-year-old boy was killed after reportedly stepping on an abandoned explosive device in Tiaty West Sub-county. The incident occurred on Friday morning in the Toplen area of Silale Location. The victim was walking through the area when he allegedly stepped on what is suspected [...] The post Boy killed in bomb explosion in Baringo appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Fri, 10 Jul 2026 23:52:48
Man arrested on suspicion of murder after death of Ann Widdecombe
A 26-year-old man is being held on suspicion of murder following the death of former MP and government minister Ann Widdecombe. On Friday, Devon and Cornwall Police confirmed the man, a white British national, was arrested at an address in Newton Abbot, Devon and was is in custody. The body of the 78-year-old former Conservative [...] The post Man arrested on suspicion of murder after death of Ann Widdecombe appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Fri, 10 Jul 2026 23:55:51
Triple murder suspect arrested in South Africa
Police in South Africa say they have arrested a man on suspicion of murdering his wife and two daughters near Bedford. Nothabo Zandile Tshuma, 42, Natalie, 15, and Nala, five, were found dead at the family home in Great Denham on Monday. Zimbabwean national Ndodana Mkhanyisi Tshuma had left the country via Heathrow Airport on [...] The post Triple murder suspect arrested in South Africa appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Fri, 10 Jul 2026 23:58:44
US wants Iran to pledge to stop shooting at ships in Strait of Hormuz
The US wants Iran to publicly state that the Strait of Hormuz is open and to pledge to stop firing on commercial ships as part of negotiations due to be held on Saturday. US media cited unnamed officials as saying Tehran had privately acknowledged to President Donald Trumps advisers that the shooting at ships was [...] The post US wants Iran to pledge to stop shooting at ships in Strait of Hormuz appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Sat, 11 Jul 2026 00:01:36
KMTC mourns female student found dead at Nairobi campus
The Kenya Medical Training College (KMTC) announced the death of one of its students, Ann Odhiambo Adhiambo, whose body was discovered within the Nairobi Campus on July 7, 2026. Mystery surrounds her death amid murder investigations. Police believe she was killed as her body had injuries. The student died as a result of multiple internal [...] The post KMTC mourns female student found dead at Nairobi campus appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Fri, 10 Jul 2026 23:55:27
Wafanyabiashara Keumbu walilia hasara baada ya mkutano wa Linda Mwananchi kuvurugwa
WAFANYABIASHARA katika Soko la Keumbu, Kaunti ya Kisii, wanakabiliwa na wakati mgumu baada ya biashara yao kudorora kufuatia vurugu zilizotokea wakati wa mkutano wa kisiasa wa viongozi wa Linda Mwananchi Ijumaa iliyopita. Hali imezidi kuwa mbaya kutokana na kampeni kwenye mitandao ya kijamii inayowahimiza wananchi kususia bidhaa kutoka sokoni humo, kwa madai kwamba baadhi ya wafanyabiashara walihusika katika vurugu hizo. Ingawa hali ya usalama imeanza kutulia, wafanyabiashara wanasema idadi ya wateja imepungua kwa kiasi kikubwa na wengi wao sasa wanapata hasara. Bi Josephine Mang'ere alisema biashara ilikuwa ikiendelea vizuri kabla ya mkutano huo kuvurugika. "Tulikuwa tumewasubiri viongozi wa Linda Mwananchi, lakini baada ya muda mawe yakaanza kurushwa. Tangu siku hiyo biashara imekuwa ngumu. Tunapoenda kuuza bidhaa zetu watu hawazinunui. Tunaomba tusamehewe," alisema. Kwa upande wake, Bi Sophia Moraa alisema biashara yake ya parachichi imeathirika vibaya kwani wateja wengi wamekataa kununua mazao yake, hali iliyosababisha baadhi yake kuoza. "Sisi ni wafanyabiashara wasio na hatia. Tunapowafuata wateja barabarani wanatuambia tuuze bidhaa zetu kwa viongozi wanaotuhumiwa kusababisha vurugu. Tunataka siasa za amani," alisema. Bi Mary Moraa alisema wafanyabiashara sasa wanahimiza amani na kuheshimiana kisiasa. "Sisi ni wazazi. Kijana aliyefariki ni mtoto wetu pia, na kifo chake kinatuumiza. Wanasiasa wote waruhusiwe kuhutubia wananchi bila ubaguzi," alisema. Wakati huo huo, Meshack Yoge, mmoja wa manusura wa shambulizi dhidi ya msafara wa Linda Mwananchi, alisema anaamini alinusurika kifo kwa bahati. Bw Yoge, ambaye alijeruhiwa jicho baada ya kupigwa na jiwe, alisema tukio hilo lilikuwa la kutisha na bado hajapona kikamilifu. Alisema walikuwa wakielekea Keroka baada ya mkutano wa Kisii mjini na walipofika Keumbu, walivamiwa na kundi la watu waliokuwa wakirusha mawe na kubeba rungu, mishale na pinde. "Tuliona watu wakikimbia kuelekea kwetu wakipiga kelele wakisema, 'Waueni!' Dirisha la gari lilivunjwa, jiwe likanigonga usoni na kujeruhi jicho. Nilinusurika kupoteza jicho na meno," alisema. Aliongeza kuwa walilazimika kukimbia kwa kasi kuokoa maisha yao na baadaye akapelekwa hospitalini Keroka ambako alipatiwa matibabu. Mgombeaji wa udiwani wa Kisii Central, Bw Andrew Moindi Mochache, aliyekuwa ndani ya gari hilo, alisema waliona kifo wazi. "Niliona kifo kwa macho yangu. Watu waliotushambulia walikuwa wamekusudia kutuua," alisema. Kiongozi wa People's Liberation Party (PLP) Martha Karua na Mbunge wa North Mugirango Joash Nyamoko walilaani vurugu hizo, wakisisitiza kuwa siasa zinapaswa kuendeshwa kwa amani. Bi Karua alisema hakuna anayepaswa kuzuiwa kutoa maoni yake au kushiriki shughuli za kisiasa kwa amani, huku Bw Nyamoko akiwataka vijana kuepuka kutumiwa na wanasiasa kuchochea ghasia.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Fri, 10 Jul 2026 23:38:30
Amnesty calls latest US deportation to Eswatini 'unlawful'
Amnesty International criticised Friday the latest US deportation of 11 people to Eswatini as unlawful, accusing President Donald Trumps administration of cruel and racist anti-immigrant policies. The group was flown into the tiny African nation on Wednesday, the fourth batch to arrive since July last year as part of a $5-million deal with Washington. The [...] The post Amnesty calls latest US deportation to Eswatini unlawful appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Fri, 10 Jul 2026 22:55:14
KPLC yakanusha madai ya kuhamishia transfoma Mbeere North kwa sababu ya kisiasa
KAMPUNI ya stima Kenya (KPLC) imekanusha madai kuwa iliondoa transfoma 15 kutoka maeneo mbalimbali katika eneo bunge la Mbeere North, Kaunti ya Embu, kwa sababu za kisiasa, ikisema vifaa hivyo vilichukuliwa kwa ukarabati wa kawaida. Katika taarifa kwa vyombo vya habari, Meneja wa KPLC Kaunti ya Embu, Bw Vincent Okello, alisema transfoma zinapopata hitilafu kama kuingia maji au kasoro nyingine ambazo haziwezi kurekebishwa zikiwa eneo la matumizi, hupelekwa kwenye karakana maalumu kwa ukarabati, majaribio na kukaushwa kwa teknolojia maalumu ili kurejesha ubora wake. Alisema kati ya Mei na Juni mwaka huu, transfoma 15 ziliondolewa Mbeere North kutengenezwa. Kati ya hizo, 14 tayari zimerejeshwa na kufungwa upya, huku moja iliyoharibiwa na wahuni wiki iliyopita ikibadilishwa Ijumaa. "Kazi hizi ni za kiufundi pekee na zinalenga kuhakikisha wananchi wanapata umeme salama, wa kutegemewa na ulio thabiti," alisema Bw Okello. Hata hivyo, wakazi walipinga madai kwamba walihusishwa kabla ya transfoma hizo kuondolewa. Walisema walishtushwa na hatua hiyo na kudai baadhi ya transfoma zilirejeshwa usiku baada ya vyombo vya habari kuripoti kuhusu kero hiyo.
read moreRight Column Content