kahawatungu.com
@kahawatungu Fri, 10 Jul 2026 00:34:07
David Gahan Net Worth
David Gahan is an English singer, songwriter, and musician with an estimated net worth of $90 million. He is best known as the iconic lead vocalist of Depeche Mode, one of the worlds best-selling electronic bands, with more than 100 million records sold worldwide. Although longtime bandmate Martin Gore has written most of Depeche Modes [...] The post David Gahan Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Fri, 10 Jul 2026 00:42:50
Vince Clarke Net Worth
Vince Clarke is an English electronic musician, songwriter, and record producer with an estimated net worth of $30 million. He is regarded as one of the pioneers of synth-pop, having played a key role in the success of bands including Depeche Mode, Yazoo, and Erasure. Although Clarke left Depeche Mode shortly after its debut album, [...] The post Vince Clarke Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 09 Jul 2026 23:51:25
Bonnie Tyler Net Worth
Welsh singer Bonnie Tyler had an estimated net worth of $40 million, earned through a music career spanning more than five decades. Her wealth came from record sales, worldwide tours, music publishing royalties, streaming revenue, licensing deals, and an extensive real estate portfolio. Tyler became one of the most recognizable voices in rock and pop [...] The post Bonnie Tyler Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Fri, 10 Jul 2026 00:01:20
Two arrested over double murder in Kisii's Bonchari area
Police arrested two suspects in connection with the murder of two people in Kisii South Sub-County following an intensive search at the crime scene. This followed the killings at Mwankira II Village, Bomakombi Sub-location, Bomorenda Location, Suneka. Relatives of the deceased and community policing members combed the area on Thursday morning and helped the recovery of [...] The post Two arrested over double murder in Kisii's Bonchari area appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Fri, 10 Jul 2026 00:05:39
Israel shared intelligence with US of Iranian plot to assassinate Trump
Israel shared intelligence with the United States that Iran had recently devised a new plan to assassinate President Donald Trump, two sources familiar with the matter told CNN, adding another layer of tension as a ceasefire deal between the countries comes under strain. One of the sources said the warning came this week. Another source [...] The post Israel shared intelligence with US of Iranian plot to assassinate Trump appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Fri, 10 Jul 2026 00:07:06
Cyndi Lauper Net Worth
Cyndi Lauper is an American singer, songwriter, actress, and Broadway composer with an estimated net worth of $50 million. Best known for timeless hits such as Girls Just Want to Have Fun, Time After Time, and True Colors, Lauper has built her wealth through record sales, worldwide tours, Broadway success, acting, and music publishing. Her [...] The post Cyndi Lauper Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Fri, 10 Jul 2026 00:16:45
Paul Young Net Worth
Paul Young is an English singer and musician with an estimated net worth of $10 million. He built his fortune through a successful music career spanning more than four decades, earning income from album sales, hit singles, international tours, royalties, and live performances. Young became one of Britains biggest pop stars during the 1980s with [...] The post Paul Young Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Thu, 09 Jul 2026 23:55:36
Korti yawazima Wetang'ula, Kingi kushiriki kampeni za Ruto Tutam
SPIKA wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang'ula na mwenzake wa Seneti Amason Kingi wanakabiliwa na kesi ya kikatiba inayoweza kubadili mipaka ya ushiriki wa viongozi wa Bunge katika siasa za uchaguzi. Hii ni baada ya Mahakama Kuu kuwazuia kwa muda kushiriki kampeni za kumrejesha Rais William Ruto mamlakani mwaka wa 2027 kwa kutumia mamlaka ya nyadhifa zao. Mahakama ilitoa amri za muda zinazowazuia wawili hao kutumia mamlaka, hadhi, ushawishi au heshima ya afisi zao za kikatiba kuandaa, kuendesha, kuunga mkono au kuendesha kampeni za kisiasa hadi kesi hiyo itakaposikizwa na kuamuliwa. Kesi hiyo iliwasilishwa na shirika la kiraia la Vocal Africa, ambalo linasema kushiriki kwa maspika hao katika kampeni za kisiasa kunadhoofisha uhuru wa Bunge na kuvunja mpaka uliowekwa na Katiba kati ya Bunge na Serikali Kuu. Mahakama ilitambua kesi hiyo kuwa ya dharura na kuagiza maspika hao kuwasilisha majibu yao ndani ya siku tatu za kazi. Kesi hiyo itatajwa Julai 16 kwa maelekezo zaidi. Mbali na Wetang'ula na Kingi, walioshtakiwa ni Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) pamoja na Mwanasheria Mkuu. Katika kesi yake, Vocal Africa inasema Katiba iliunda Bunge kama mhimili huru unaopaswa kusimamia Serikali Kuu, na hivyo viongozi wake hawapaswi kuonekana kama viongozi wa kampeni za kisiasa. "Katiba iliunda Bunge ambalo lingesimama bega kwa bega na Serikali Kuu, si kuwa nyuma yake. Iliwakabidhi maspika wa bunge mamlaka ya kikatiba, si kwa manufaa ya kisiasa ya chama; iliwapa jukumu la kulinda na kuongoza taasisi ya Bunge, si kuendesha kampeni za uchaguzi," zinasema stakabadhi za kesi hiyo. Shirika hilo linadai kuwa kati ya Juni na mapema Julai mwaka huu, Bw Wetang'ula alihudhuria mikutano ya kisiasa Likoni (Mombasa), Emuhaya (Kakamega) na Eldoret (Uasin Gishu), ambako alidaiwa kuhimiza wananchi kumuunga mkono Rais Ruto na ajenda za serikali ya Kenya Kwanza. Naye Bw Kingi anatuhumiwa kushiriki mikutano ya uhamasishaji wa kisiasa Mombasa na maeneo mengine ya Pwani. Kwa mujibu wa walalamishi, hatua hizo zimeibua mgongano kati ya wajibu wa maspika hao wa kuongoza Bunge kwa njia isiyoegemea upande wowote na shughuli zao za kisiasa, jambo ambalo limepunguza imani ya umma kwa uhuru wa Bunge. "Mamlaka ya kikatiba ya Bunge hayawezi kutekelezwa ipasavyo ikiwa maafisa wa kikatiba waliokabidhiwa jukumu la kuongoza mabunge yote mawili watajitokeza hadharani kama viongozi wa kampeni za kisiasa au watetezi wa kuchaguliwa tena kwa Serikali ile ile ambayo Bunge lina wajibu wa kusimamia na kuwajibisha kwa mujibu wa Katiba," walalamishi wanasema. Vocal Africa inasema kwamba haipingi haki ya maspika hao kuwa na misimamo ya kisiasa binafsi, bali inapinga matumizi ya mamlaka na heshima ya afisi zao za kikatiba katika kampeni za uchaguzi. Shirika hilo linaomba mahakama itoe amri ya kudumu ya kuwazuia kutumia nyadhifa zao kwa shughuli za kampeni, itangaze kuwa vitendo hivyo vinakiuka Katiba na misingi ya uongozi bora, uadilifu na imani ya umma, na pia iamuru IEBC pamoja na EACC kuchunguza madai hayo na kuwasilisha ripoti zao mahakamani.
read morekenyans.co.ke
@kenyans Thu, 09 Jul 2026 23:15:32
World Bank Warns Kenyans of Tough Times Ahead, Predicts Sharp Poverty Rise
Amid the warning, the lender lowered its economic growth forecast for Kenya, projecting the economy will expand by 4.3 per cent in 2026, a drop from 2025's 4.5 per cent projection.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Thu, 09 Jul 2026 22:55:56
Sababu za uchaguzi wa Ol Kalou kugeuka kufa kupona kati ya Uhuru, Ruto na Gachagua
UCHAGUZI mdogo wa ubunge wa Ol Kalou unaotarajiwa kufanyika Julai 16 umegeuka kutoka kuwa uchaguzi wa kawaida wa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na marehemu mbunge David Kiaraho hadi kuwa uwanja muhimu wa kupima nguvu za kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2027. Ingawa wananchi wanatarajiwa kumchagua mbunge mpya, wachambuzi wa siasa wanasema uchaguzi huo sasa ni kipimo cha ushawishi wa kisiasa katika eneo la Mlima Kenya. Kura hiyo itapima Rais William Ruto na Naibu Rais Kithure Kindiki kwa upande mmoja, huku aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua na aliyekuwa Rais Uhuru Kenyatta wakitazamiwa kwa makini upande mwingine. Wadadisi wanasema matokeo yataonyesha ni kiongozi gani bado anaungwa mkono na wakazi wa Mlima Kenya na ni nani ana nafasi nzuri kuelekea uchaguzi wa urais wa mwaka 2027. Ingawa wagombea ni tisa, ushindani mkubwa umejikita kati ya mgombea wa UDA Muchina Nyaga, anayepigiwa debe na Rais Ruto na Profesa Kindiki; Douglas Kamau Ngotho wa chama cha Democracy for the Citizens Party (DCP) kinachoongozwa na Bw Gachagua; na Wilson Kigwa wa Jubilee anayehusishwa na Bw Kenyatta pamoja na aliyekuwa Waziri wa Usalama wa Ndani Dkt Fred Matiang'i. Kwa Rais Ruto, uchaguzi huu ni mtihani wake mkubwa wa kwanza Mlima Kenya tangu uhusiano kati ya serikali yake na sehemu ya viongozi wa eneo hilo uharibike kufuatia kuondolewa madarakani kwa Bw Gachagua mwaka 2024. Rais alipata karibu asilimia 87 ya kura za Mlima Kenya katika uchaguzi wa 2022, hivyo ushindi wa UDA utakuwa ushahidi kuwa bado ana ushawishi mkubwa eneo hilo. Lakini iwapo UDA itashindwa, wachambuzi wanaamini hali hiyo itaimarisha madai kwamba ngome yake ya kisiasa katika Mlima Kenya inaendelea kuyeyuka na kulazimisha Ikulu kutathmini upya mikakati yake kabla ya uchaguzi mkuu. Mchambuzi wa siasa John Okumu anasema ushindi wa upande wowote utatoa nguvu mpya katika pambano la kuwania uungwaji mkono wa Mlima Kenya. "Endapo mgombea wa Rais atashinda huku Bw Gachagua na Bw Kenyatta wakishindwa, kutakuwa na maswali iwapo kambi hizo mbili za upinzani zinaweza kuendelea kutekeleza mikakati tofauti katika Mlima Kenya," alisema. Hata hivyo, kampeni zimeibua maswali mapya ndani ya serikali. Ingawa Prof Kindiki ndiye anayechukuliwa kuwa msimamizi mkuu wa siasa za Mlima Kenya kwa niaba ya Rais, uratibu mkubwa wa kampeni umeonekana kufanywa na Mbunge wa Laikipia Mashariki Mwangi Kiunjuri. Bw Kiunjuri alipuuzilia mbali madai kuwa serikali iko katika hali ya hofu. "Tulipoanza kampeni mgombea wetu alikuwa na uungwaji mkono wa takriban asilimia tisa. Kila ongezeko la asilimia limetokana na kazi ya timu zetu mashinani. Kwa sasa sisi ndio tunaongoza," alisema. Lakini Mbunge wa Kipipiri Wanjiku Muhia alihoji kwa nini Bw Kiunjuri ndiye anayeonekana kuongoza kampeni za serikali Ol Kalou. Kwa Prof Kindiki, uchaguzi huu ni mtihani wa kuthibitisha kuwa ana uwezo wa kuunganisha Mlima Kenya nyuma ya Rais Ruto tangu achukue nafasi ya Bw Gachagua. Wachambuzi wanasema matokeo mabaya yatazua maswali kuhusu uwezo wake wa kuimarisha ngome hiyo muhimu kisiasa. Seneta wa Murang'a Joe Nyutu alisema uchaguzi huo ni kipimo muhimu kwa Naibu Rais. "Uchaguzi huu unapima kama Prof Kindiki anaweza kuhamasisha Mlima Kenya kumuunga mkono Rais Ruto. Mustakabali wake wa kisiasa unategemea uwezo wake wa kuonyesha anaweza kuleta kura kutoka eneo hili," alisema. Hata hivyo, mwenyekiti wa UDA Cecily Mbarire alisema nafasi ya Prof Kindiki serikalini haina tishio lolote. Bw Gachagua anachukulia uchaguzi huo kama mtihani wa kwanza wa nguvu za chama chake cha DCP tangu kuondolewa kwake mamlakani. Ushindi utampa hoja kuwa ndiye kiongozi mkuu wa kisiasa wa Mlima Kenya na unaweza kuwashawishi viongozi zaidi kuhama kutoka UDA kwenda DCP. "Tutashinda kiti hiki. Serikali imeingiwa na hofu na inaweza hata kutaka kuahirisha uchaguzi. Lakini wananchi wa Nyandarua watazungumza kupitia kura," alisema Bw Gachagua. Kwa Bw Kenyatta, ushindi wa mgombea wa Jubilee Wilson Kigwa utakuwa thibitisho kwamba bado ana ushawishi wa kisiasa na kwamba anaweza kuhamisha uungwaji mkono huo kwa Dkt Matiang'i kuelekea uchaguzi wa urais wa 2027.
read morestandardmedia.co.ke
@standard Thu, 09 Jul 2026 23:00:00
From neglect to spending spree: The making of open bribery for Ol Kalou by-election
The Ol Kalou by-election has been overshadowed by allegations of voter inducement, misuse of public resources and intensified government project rollouts.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 09 Jul 2026 22:44:01
Man killed in robbery incident in Bungoma
Police in Bungoma County launched investigations into the murder of a 23-year-old man who succumbed to head injuries sustained during an alleged robbery after watching a football match in Kamukuywa Township. The victim, Allan Okuku Osida, had reportedly gone to Joy Bar with his brother on the evening of July 7 to watch a FIFA [...] The post Man killed in robbery incident in Bungoma appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 09 Jul 2026 21:49:53
Trump swaps planes during flying visit to the UK
US President Donald Trump stopped off at RAF Mildenhall to swap planes on his way home from this weeks Nato summit in Turkey. He was returning from Ankara on Wednesday when he made the Air Force One switch in Suffolk before resuming his journey on a new plane recently given to him by the Qatari [...] The post Trump swaps planes during flying visit to the UK appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 09 Jul 2026 21:54:09
Ukrainian agent accused of murdering Monaco bomb suspect changes story
A Ukrainian intelligence agent who confessed to killing the woman suspected of trying to assassinate a multimillionaire and his family in Monaco last week, has now claimed he did not pull the trigger. In court in Kyiv for a custody hearing on Thursday, Vladyslav Reut – who a few days ago led investigators to Anastasiia [...] The post Ukrainian agent accused of murdering Monaco bomb suspect changes story appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 09 Jul 2026 21:57:45
South Korean chip giant SK Hynix raises $26.5bn in US share sale
South Korean computer chip maker SK Hynix has raised $26.5bn (£19.8bn) in its New York share offering, marking the largest ever listing by a foreign firm in the US. The company, a key supplier to artificial intelligence (AI) chip giant Nvidia, said on Thursday that it had sold 177.9 million American depositary shares for $149 [...] The post South Korean chip giant SK Hynix raises $26.5bn in US share sale appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 09 Jul 2026 22:01:41
US and Iran trade attacks as Khamenei is buried
The US and Iran again traded strikes in exchanges that continued into Thursday, as observers reported a dramatic drop in the number of ships travelling through the Strait of Hormuz. The US says it hit 90 military targets, some near the Strait. Iran says 14 people have been killed in the past two days. State [...] The post US and Iran trade attacks as Khamenei is buried appeared first on Kahawatungu.
read moreRight Column Content