kahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 09 Jul 2026 21:54:09
Ukrainian agent accused of murdering Monaco bomb suspect changes story
A Ukrainian intelligence agent who confessed to killing the woman suspected of trying to assassinate a multimillionaire and his family in Monaco last week, has now claimed he did not pull the trigger. In court in Kyiv for a custody hearing on Thursday, Vladyslav Reut – who a few days ago led investigators to Anastasiia [...] The post Ukrainian agent accused of murdering Monaco bomb suspect changes story appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 09 Jul 2026 21:57:45
South Korean chip giant SK Hynix raises $26.5bn in US share sale
South Korean computer chip maker SK Hynix has raised $26.5bn (£19.8bn) in its New York share offering, marking the largest ever listing by a foreign firm in the US. The company, a key supplier to artificial intelligence (AI) chip giant Nvidia, said on Thursday that it had sold 177.9 million American depositary shares for $149 [...] The post South Korean chip giant SK Hynix raises $26.5bn in US share sale appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 09 Jul 2026 22:01:41
US and Iran trade attacks as Khamenei is buried
The US and Iran again traded strikes in exchanges that continued into Thursday, as observers reported a dramatic drop in the number of ships travelling through the Strait of Hormuz. The US says it hit 90 military targets, some near the Strait. Iran says 14 people have been killed in the past two days. State [...] The post US and Iran trade attacks as Khamenei is buried appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Thu, 09 Jul 2026 21:55:09
Uwanja wa Talanta wazidi kubugia pesa ukihitaji Sh6.97 bilioni zingine kwa dharura
SERIKALI inakabiliwa na presha kulipa Sh6.97 bilioni mwezi huu kwa kampuni ya China Road and Bridge Corporation (CRBC), inayojenga Uwanja wa Talanta Sports City jijini Nairobi, mradi unaotajwa kuwa muhimu katika maandalizi ya Kenya kuandaa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mnamo 2027. Malipo hayo yataongeza jumla ya fedha ambazo serikali itakuwa imelipa mkandarasi huyo hadi Sh28.97 bilioni tangu ujenzi wa uwanja huo uanze rasmi Machi 1, 2024. Taarifa hizo zimefichuliwa na Mdhibiti wa Bajeti Dkt Margaret Nyakang'o katika ripoti yake ya ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji wa bajeti ya Sports Kenya. Ripoti hiyo inaonyesha kuwa, serikali imeendelea kutoa malipo kwa mkandarasi huku ikisisitiza kuwa hakuna kazi iliyokamilika ambayo bado haijalipwa. Hata hivyo, huku serikali ikijitahidi kuhakikisha mradi huo unakamilika kwa wakati, Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Nancy Gathungu ameibua wasiwasi kuhusu gharama ya ujenzi huo na iwapo wananchi wanapata thamani ya fedha zinazotumika. Kwa mujibu wa ripoti ya ukaguzi wa hesabu za Wizara ya Ulinzi kwa mwaka wa kifedha wa 2024/25, gharama ya mradi huo iliongezwa kutoka Sh35 bilioni hadi Sh45.85 bilioni, ongezeko la Sh10.85 bilioni ambalo halijaelezewa ipasavyo kwenye stakabadhi zilizowasilishwa kwa wakaguzi. Ripoti hiyo pia inaibua maswali kuhusu jinsi kandarasi hiyo ilivyotolewa. Kulingana na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, kandarasi ilitolewa kupitia ununuzi wa moja kwa moja badala ya zabuni ya wazi, jambo ambalo huenda lilikiuka masharti ya Sheria ya Ununuzi wa Umma ya mwaka 2015. Sheria hiyo inataka zabuni za wazi zitumike katika ununuzi wa bidhaa, huduma na kazi za umma isipokuwa katika mazingira maalumu kama vile dharura, vita au pale ambapo huduma inaweza kutolewa na mkandarasi mmoja pekee. Uwanja wa Talanta Sports City unajengwa katika viwanja vya Jamhuri kando ya Barabara ya Ngong, eneo bunge la Kibra, Nairobi. Uwanja huo utakuwa na uwezo wa kuketi watazamaji 60,000 na unatarajiwa kuwa mkubwa zaidi na wa kisasa Kenya. Mradi huo ni sehemu ya maandalizi ya Kenya, Uganda na Tanzania kuandaa kwa pamoja mashindano ya AFCON mnamo 2027. Kenya imepangiwa kuandaa mechi ya ufunguzi pamoja na fainali ya mashindano hayo, hivyo kukamilika kwa uwanja huo kwa wakati kunachukuliwa kuwa jambo muhimu kwa taifa. Kwa mujibu wa Dkt Nyakang'o, ujenzi wa uwanja huo umekamilika asilimia 90.44. Hata hivyo, muda wa kuukamilisha umeongezwa mara kadhaa. Awali ulitarajiwa kukamilika Desemba 2025 kabla ya tarehe hiyo kusukumwa hadi Machi 2026 na baadaye Julai 2026. Licha ya ucheleweshaji huo, Mdhibiti wa Bajeti anaamini bado kuna muda wa kutosha wa kukamilisha kazi iliyobaki, kufanyiwa ukaguzi na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), pamoja na kuandaa mechi za majaribio kabla ya AFCON kuanza katikati ya mwaka wa 2027. Hata hivyo, ameitaka Wizara ya Ulinzi, ambayo inasimamia utekelezaji wa mradi huo, kuimarisha usimamizi na kuhakikisha ratiba mpya ya ujenzi inafuatwa kikamilifu ili kuepusha ucheleweshaji zaidi. Anasema changamoto zozote zinazojitokeza zinapaswa kushughulikiwa haraka ili kuhakikisha uwanja huo unakamilika, kuidhinishwa na CAF na kuwa tayari kutumika kabla ya mashindano hayo makubwa ya bara Afrika. Ripoti ya Bi Gathungu pia imeonya kuwa serikali inaweza kubeba mzigo mkubwa zaidi wa kifedha ikiwa malipo kwa mkandarasi yataendelea kucheleweshwa. Kulingana na masharti ya kandarasi, kuchelewa kulipa kutasababisha serikali kulipa riba ya asilimia tatu juu ya kiwango cha msingi cha ukopeshaji cha Benki Kuu ya Kenya (CBK), jambo litakaloongeza gharama za mradi. Aidha, ripoti hiyo inaonyesha kuwa Wizara ya Fedha ilikuwa imeidhinisha ufadhili wa Sh35 bilioni kwa mradi huo kupitia Hazina ya Maendeleo ya Michezo na Sanaa (SASDF), huku malipo yakipangwa kufanywa kwa kipindi cha miaka sita. Hata hivyo, kandarasi ya Sh45.85 bilioni inaonyesha tofauti ya Sh10.85 bilioni bila maelezo ya kutosha.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 09 Jul 2026 17:08:02
Uganda judges push back against lawyers' bid to scrap 'colonial titles'
Ugandas judiciary pushed back against a directive by the countrys lawyers association instructing its members to stop addressing judges as My Lord or My Lady and to abandon the longstanding practice of bowing before them. In the directive, the Uganda Law Society (ULS) said such feudal and colonial honorifics elevate judicial officers above citizens, who [...] The post Uganda judges push back against lawyers bid to scrap colonial titles appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 09 Jul 2026 17:11:14
No contact from UK about murder suspect, say Zimbabwe police
Police in Zimbabwe say they have not been officially contacted by UK authorities about triple murder suspect Ndodana Mkhanyisi Tshuma. The 45-year-old is wanted over the deaths of his wife Nothabo Zandile Tshuma, 42, and daughters Natalie, 15, and Nala, five, who were found dead at the family home near Bedford on Monday. Zimbabwean national [...] The post No contact from UK about murder suspect, say Zimbabwe police appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Thu, 09 Jul 2026 17:14:09
Wanted Sh15 million land fraud suspect arrested in operation in Kajiado
Detectives from the DCI Headquarters' Land Fraud Investigations Unit (LFIU) arrested fraud suspect Nancy Wamuyu Njai, who was wanted under a warrant of arrest issued by the Kajiado Chief Magistrate's Court on December 17, 2025. The suspect was apprehended in execution of the court warrant and is currently being processed ahead of her arraignment before [...] The post Wanted Sh15 million land fraud suspect arrested in operation in Kajiado appeared first on Kahawatungu.
read moreRight Column Content