kahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 23:59:21
Lucille Ball Net Worth
Lucille Ball was an American actress, comedian, producer, model, and businesswoman who had a net worth of $60 million at the time of her death in 1989. Adjusted for inflation, that fortune would be worth approximately $125 million today. Best remembered as the star and co-creator of the iconic sitcom I Love Lucy, Ball also [...] The post Lucille Ball Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Wed, 08 Jul 2026 23:55:30
Wakazi raha tele kufuatia habari kiwanda kilichokuwa kijengwe Tanzania sasa kitajengwa Lamu
VIONGOZI na wakazi wa Kaunti ya Lamu, wameeleza matarajio makubwa ya ukuaji wa kiuchumi kutokana na uamuzi wa mfanyabiashara mashuhuri kutoka Nigeria, Bw Aliko Dangote, kutaka kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta ghafi eneo hilo. Jana, Rais William Ruto alimkabidhi Naibu Rais Kithure Kindiki jukumu la kuongoza kikosi cha serikali na sekta ya kibinafsi kitakachoratibu maandalizi ya uwekezaji katika kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta kitakachojengwa Kaunti ya Lamu. Akizungumza katika Ikulu ya Nairobi wakati wa kutia saini Sheria ya Hazina ya Utajiri wa Taifa 2026, Rais Ruto alisema serikali tayari imeanza maandalizi ya utekelezaji wa mradi huo na tarehe ya uwekaji wa jiwe la msingi imepangwa. "Tumepanga tarehe ya kuweka jiwe la msingi la mradi huu. Tunachukua hatua zitakazoifanya Kenya kuwa taifa la kiwango cha dunia ya kwanza," alisema Rais Ruto. Hata hivyo, hakufichua tarehe rasmi ya uzinduzi wa ujenzi wa kiwanda hicho. Kwa mujibu wa mashirika ya kimataifa, kiwanda hicho kitakachokuwa kikubwa zaidi Afrika Mashariki kitakuwa na uwezo wa kusafisha mapipa 700,000 ya mafuta ghafi kwa siku. Kitasambaza bidhaa za petroli Kenya na kwa nchi jirani, hivyo kupunguza gharama za kununua bidha hiyo kutoka mataifa ya nje. Kampuni ya Dangote Group awali mwaka huu ilikuwa imeonesha nia ya kuwekeza mradi huo Tanga, Tanzania kabla ya kubadili nia kutokana na uwezo mkubwa zaidi wa Kenya. Ingawa eneo halisi ambako kiwanda hicho kitajengwa halijafahamika, wadau serikalini walidokeza kuwa huenda kikajengwa katika eneo la Magogoni, karibu na Bandari ya Lamu iliyo Kililana, Lamu Magharibi. Bandari ya Lamu husifiwa kwa uwezo wake wa kupokea meli kubwa na matumizi ya teknolojia za kisasa, kuliko ilivyo Mombasa na bandari nyingine za nchi Jirani. Naibu Gavana wa Lamu, Dkt Mbarak Salim, amesifu hatua hiyo na kusema serikali ya kaunti, viongozi na wakazi wako tayari kushirikiana na mwekezaji huyo kuhakikisha mradi utafaulu. "Tutashirikiana kuzingatia masuala muhimu ya usalama wa mazingira, uchumi na kuinua watu wetu kwa nafasi zozote za uwekezaji zitakazoundwa kupitia mradi huo," akasema Dkt Salim. Meneja Mkuu wa Bandari ya Lamu, Bw Abdulaziz Mzee, alisema mpango huo ukifanikiwa, utapanua biashara bandarini Lamu. "Twapokea mradi kwa mikono miwili. Utaongeza idadi ya meli zitakazotia nanga bandarini Lamu kufikisha, kushukisha na kupakia mapipa ya mafuta, hivyo kuinua mapato na biashara ya bandarini," akasema BwMzee. Wakazi wa Lamu pia walipokea vyema mpango huo, lakini walisisitiza haja ya mwekezaji kuwashirikisha kikamilifu. Mbunge wa zamani wa Lamu Mashariki, Bw Mohamed Hashim, alisema wasingependa yale yaliyofanyika wakati bandari ya Lamu ilipoletwa yajirudie, ikizingatiwa kesi zilizowasilishwa mahakamani kuhusu haki za kijamii. Kauli hiyo iliungwa mkono na Meya wa zamani wa Manispaa ya Lamu, Bw Famau Ahmed aliyependekeza asilimia 70 ya ajira kwenye mradi huo endapo utatekelezwa ielekezewe vijana wenyeji wa Lamu. "Hatutaki kulaza damu tena kama ilivyofanyika katika LAPSSET kisha jamii ikose sauti kwenye mradi," akasema Bw Ahmed. Mwanaharakati wa Mazingira na Afisa Mtendaji wa Muungano wa Lamu Women Alliance (LAWA), Bi Raya Famau, aliomba wote ambao ardhi zao zitatumiwa wafidiwe kikamilifu. "Mradi ni wa maana. Ila lazima kuwepo na mikakati kabambe ya kuwafidia waathiriwa wote. Haki za kimazingira, kijamii na tamaduni zetu kama wakazi wa Lamu pia zisikiukwe wakati mradi unapotekelezwa," akasema Bi Famau. Katibu Mtendaji wa Baraza la Wahubiri wa Kiislamu (CIPK) kaunti ya Lamu, Bw Mohamed Abdulkdir alisisitiza haja ya mwekezaji kuzingatia utoaji huduma za jamii wakati mradi ukiendelezwa.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Wed, 08 Jul 2026 23:55:32
Viongozi waanza kuhama vyama wakijipanga kwa 2027
VYAMA vikuu vya kisiasa nchini vinaendelea kukumbwa na wimbi la viongozi kuhama huku maandalizi ya uchaguzi mkuu wa 2027 yakishika kasi. Chama tawala cha United Democratic Alliance (UDA), Orange Democratic Movement (ODM), Jubilee na Democratic Action Party-Kenya (DAP-K) ni miongoni mwa vyama vinavyoathiriwa zaidi na mabadiliko hayo ya kisiasa. Kwa mujibu wa wachambuzi, viongozi wengi wanatafuta vyama vipya wanavyoamini vitawaongezea nafasi ya kushinda uchaguzi, huku wengine wakihama kutokana na migawanyiko ya kisiasa na mabadiliko ya miungano. Ndani ya ODM, viongozi wanaohusishwa na mrengo wa Linda Mwananchi wametangaza kuwa watazindua chama kipya watakachotumia katika uchaguzi mkuu wa mwaka ujao. Mbunge wa Saboti Caleb Amisi tayari amejiunga na chama cha People's Renaissance Movement (PM Party). Viongozi wengine wanaotarajiwa kuondoka ODM ni Katibu Mkuu Edwin Sifuna, Seneta wa Vihiga Godfrey Osotsi, wabunge Wilberforce Oundo (Funyula), Babu Owino (Embakasi Mashariki), Caroli Omondi (Suba Kusini), Anthony Kibagendi (Kitutu Chache Kusini), Seneta wa Kisii Richard Onyonka na Mbunge wa Kitutu Masaba Clive Gisairo. Seneta Osotsi alisema chama kipya kitakuwa makao ya viongozi wa Linda Mwananchi, akidai uamuzi wa ODM kushirikiana na Rais William Ruto uliwavunja moyo wafuasi wengi. Mbunge wa Suba Kusini Caroli Omondi pia anasema hatawania tena kiti chake kupitia ODM, bali atatumia chama kingine. Wakati huo huo, UDA imeendelea kupoteza uungwaji mkono katika eneo la Mlima Kenya huku viongozi wengi wakijitenga na chama hicho na kuelekea Democracy for the Citizens Party (DCP) cha aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua. Gavana wa Murang'a Irungu Kang'ata na Mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro tayari wametangaza kuwa hawatatetea viti vyao kupitia UDA, ingawa bado hawajatangaza vyama watakavyotumia. Bw Nyoro alisema wananchi wa Mlima Kenya wamepoteza imani na UDA. Viongozi wengine waliojiunga na DCP ni Maseneta John Methu (Nyandarua), Joe Nyutu (Murang'a), Karungo Thang'wa (Kiambu) na James Murango pamoja na wabunge Benjamin Gathiru almaarufu Mejja Donk (Embakasi Kati), James Gakuya (Embakasi Kaskazini) na Edward Muriu (Gatanga). Katika eneo la Magharibi, Seneta wa Kakamega Boni Khalwale ametangaza kuhusishwa na chama kipya cha United Patriotic Movement (UPM) ambacho kinasubiri kusajiliwa kikamilifu. Kwa upande mwingine, Naibu Gavana wa Kakamega Ayub Savula na Mbunge wa Kiminini Bisau Kakai, ambao kwa sasa wako DAP-K, tayari wametangaza nia ya kuwania viti kupitia UDA. Aliyekuwa Mbunge wa Kieni Kanini Kega, ambaye aliteuliwa katika Bunge la Afrika Mashariki kupitia Jubilee, pia amejiunga na DCP. Mbunge wa Embakasi Magharibi Mark Mwenje naye ameashiria kuhamia DCP baada ya kukutana na Bw Gachagua nyumbani kwake Wamunyoro, Kaunti ya Nyeri.
read morekenyans.co.ke
@kenyans Wed, 08 Jul 2026 23:15:59
Ruto Given One-Week Ultimatum Over Ksh2.59 Trillion Dangote Lamu Refinery
The project is set to start within the next 30 months, with groundworks already initiated to consider soil testing and other requirements, which would make Kenya one of the largest exporters.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 23:15:00
Linda Purl Net Worth
Linda Purl is an American actress, singer, and stage performer with an estimated net worth of $5 million. She has built her wealth through a television and film career spanning more than five decades, alongside successful work as a jazz vocalist and live performer. Purl is best known for playing Ashley Pfister on Happy Days, [...] The post Linda Purl Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read morestandardmedia.co.ke
@standard Wed, 08 Jul 2026 23:00:00
Untouchable cop: Demoted OCS in the spot for allegedly pushing woman from sixth floor
Nicole Omondi, 25, is lucky to be alive today after she was allegedly pushed from the sixth floor of a building at Thome Estate in Kasarani on June 4, 2026.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 12:39:09
Court stops public participation on proposed Meru State Lodge, airstrip
A planned public participation on the proposed Meru State Lodge, airstrip and golf course project was Wednesday stopped by the High Court pending the hearing of a petition challenging the planned developments. Justice Oguttu Mboya issued an interim conservatory order barring the intended public participation after certifying the application as urgent. The judge observed that [...] The post Court stops public participation on proposed Meru State Lodge, airstrip appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 12:42:17
LSK demands probe on death of advocates, announce nationwide protest on Friday
The Law Society of Kenya (LSK) Wednesday demanded immediate investigations into the deaths of two advocates after being found in different parts of the country after going missing. Kenya Forest Service (KFS) Legal Services Manager, Esther Wairimu Keige, was found dead in a coffee plantation in Juja, Kiambu County, after disappearing on June 10, while [...] The post LSK demands probe on death of advocates, announce nationwide protest on Friday appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 16:52:35
How Corporate Housing Is Reshaping the Future of Business Travel in Canada
There are no shortage of great distances and different cities in Canada. The execution of a project in Montreal is quite different from the implementation of one in Calgary. Moving to Vancouver comes with a lifestyle that surprises even those who are veterans of the field. Despite all these differences however, there has been a [...] The post How Corporate Housing Is Reshaping the Future of Business Travel in Canada appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 17:10:19
Agency files petition to block Wetangula, Kingi from political campaigns
A petition was filed at the Milimani Law Courts seeking to bar National Assembly Speaker Moses Wetangula and Senate Speaker Amason Kingi from participating in partisan political campaigns while serving in their constitutional offices. The constitutional petition, filed by Vocal Africa through lawyer Ian Mutiso Mbotela, argues that the two Speakers have breached the Constitution [...] The post Agency files petition to block Wetangula, Kingi from political campaigns appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 17:11:58
Kagwe warns antimicrobial resistance could lock Kenya out of global meat markets
Agriculture and Livestock Development Cabinet Secretary Mutahi Kagwe has warned that the growing misuse of veterinary medicines is fueling antimicrobial resistance (AMR), posing a major threat to public health and risking Kenya's access to lucrative international meat markets. Speaking at the opening of the Kenya Meat Conference 2026 in Nyeri, Kagwe said antimicrobial resistance has [...] The post Kagwe warns antimicrobial resistance could lock Kenya out of global meat markets appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 17:12:19
German doctor jailed for murder of 15 patients and suspected of more
A German palliative care doctor has been sentenced to life imprisonment for killing 15 of his patients. A court in Berlin found the 41-year-old man, named only as Johannes M. in line with German privacy rules, guilty of murdering 12 women and 3 men between September 2021 and July 2024. The authorities believe these killings [...] The post German doctor jailed for murder of 15 patients and suspected of more appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 17:12:48
Trump takes aim at 'wasted cause' Spain and revives Greenland claim at Nato summit
US President Donald Trump used the Nato summit in Ankara to lash out again at fellow member Spain, and revive his interest in taking over Greenland. Speaking as Nato Secretary General Mark Rutte looked on, Trump said he wanted to cut off all trade relations with Spain, condemning his European ally as a wasted cause [...] The post Trump takes aim at wasted cause Spain and revives Greenland claim at Nato summit appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 17:20:08
Arizona toddler found alive in hospital morgue after declared dead from drowning
A US toddler who was found unresponsive in an Arizona pool and declared dead was later discovered to be alive in the hospitals cold room, a newly released police report shows. The family of the 18-month-old frantically called police after they found him face down in the pool at a home in the Phoenix-area suburb [...] The post Arizona toddler found alive in hospital morgue after declared dead from drowning appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 17:24:11
Judge orders Trump's $5m damages be released to E Jean Carroll
A judge has ordered that writer E Jean Carroll be paid the more than $5m (£3.7m) US President Donald Trump owes her after he was found liable for sexually abusing and defaming her in a civil case three years ago. Judge Lewis Kaplan on Wednesday ordered that a clerk release the money with interest [...] The post Judge orders Trumps $5m damages be released to E Jean Carroll appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 17:26:21
Trump says ceasefire is 'over' after US and Iran trade strikes
US President Donald Trump has said the ceasefire agreement with Iran is over, blasting the countrys leadership as scum and cuckoo after fresh exchanges of fire overnight. Speaking to reporters at a Nato summit in Turkey, the president said the US hit them very hard last night and will probably hit them hard again tonight. [...] The post Trump says ceasefire is over after US and Iran trade strikes appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 17:34:21
Four Eldoret slain suspects were behind murder of Nakuru PCEA cleric, police reveal
The police investigations revealed the four men who were shot dead along the Eldoret–Kiplombe–Soy Road in Eldoret are linked to the murder of Nakuru PCEA cleric Reverend Julius Ndumia. This was after investigations forensically placed the gang at the site where Rev Ndumia was murdered on May 3, 2026, at PCEA Tabuga Church in Nakuru [...] The post Four Eldoret slain suspects were behind murder of Nakuru PCEA cleric, police reveal appeared first on Kahawatungu.
read moreRight Column Content