kahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 17:12:48
Trump takes aim at 'wasted cause' Spain and revives Greenland claim at Nato summit
US President Donald Trump used the Nato summit in Ankara to lash out again at fellow member Spain, and revive his interest in taking over Greenland. Speaking as Nato Secretary General Mark Rutte looked on, Trump said he wanted to cut off all trade relations with Spain, condemning his European ally as a wasted cause [...] The post Trump takes aim at wasted cause Spain and revives Greenland claim at Nato summit appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 17:20:08
Arizona toddler found alive in hospital morgue after declared dead from drowning
A US toddler who was found unresponsive in an Arizona pool and declared dead was later discovered to be alive in the hospitals cold room, a newly released police report shows. The family of the 18-month-old frantically called police after they found him face down in the pool at a home in the Phoenix-area suburb [...] The post Arizona toddler found alive in hospital morgue after declared dead from drowning appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 17:24:11
Judge orders Trump's $5m damages be released to E Jean Carroll
A judge has ordered that writer E Jean Carroll be paid the more than $5m (£3.7m) US President Donald Trump owes her after he was found liable for sexually abusing and defaming her in a civil case three years ago. Judge Lewis Kaplan on Wednesday ordered that a clerk release the money with interest [...] The post Judge orders Trumps $5m damages be released to E Jean Carroll appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 17:26:21
Trump says ceasefire is 'over' after US and Iran trade strikes
US President Donald Trump has said the ceasefire agreement with Iran is over, blasting the countrys leadership as scum and cuckoo after fresh exchanges of fire overnight. Speaking to reporters at a Nato summit in Turkey, the president said the US hit them very hard last night and will probably hit them hard again tonight. [...] The post Trump says ceasefire is over after US and Iran trade strikes appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 17:34:21
Four Eldoret slain suspects were behind murder of Nakuru PCEA cleric, police reveal
The police investigations revealed the four men who were shot dead along the Eldoret–Kiplombe–Soy Road in Eldoret are linked to the murder of Nakuru PCEA cleric Reverend Julius Ndumia. This was after investigations forensically placed the gang at the site where Rev Ndumia was murdered on May 3, 2026, at PCEA Tabuga Church in Nakuru [...] The post Four Eldoret slain suspects were behind murder of Nakuru PCEA cleric, police reveal appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Wed, 08 Jul 2026 21:55:27
Kunanyesha pesa na miradi Ol Kalou uchaguzi mdogo ukiweka historia kuwa ghali zaidi
HUKU zikiwa zimesalia siku nane kabla ya uchaguzi mdogo wa eneobunge la Ol Kalou utakaofanyika Julai 16, eneo hilo linashuhudia kampeni zinazotajwa kuwa miongoni mwa ghali zaidi katika historia ya Kaunti ya Nyandarua. Vyama vya United Democratic Alliance (UDA) na Democracy for the Citizens Party (DCP) vinaongoza kampeni hizo kwa kutumia mikakati mbalimbali ya kuwashawishi wapigakura. Mbali na mikutano ya kisiasa, wagombeaji na wafuasi wao wamekuwa wakigawa fedha, zawadi na kuandaa mikutano ya uhamasishaji huku serikali ikiendelea kuzindua miradi ya maendeleo katika eneo hilo. Kiti hicho kilibaki wazi baada ya kifo cha Mbunge Njuguna Kiaraho wa chama cha Jubilee, Machi 29, 2026. Wanaowania kiti hicho ni Kamau Ngotho wa DCP, Muchina Nyaga wa UDA, Wilson Kigwa wa Jubilee, Rachel Wangui wa People's Democratic Party, Mathenge Mwaniki wa Kenya Moja Movement, Abdifatah Hussein wa Federal Party of Kenya, Timothy Kamau wa People's Renaissance Party, Stephen Wanyoike wa National Liberal Party na Edwin Muchiri wa Party of National Unity. Kwa mujibu wa walio karibu na kampeni za DCP, makazi ya Seneta wa Nyandarua John Methu katika eneo la Mugumo yamegeuzwa kuwa kituo kikuu cha uratibu wa shughuli za chama hicho. [caption id="attachment_189921" align="alignnone" width="720"] Wakazi waliohudhuria mkutano wa kisiasa wapewa magodoro. Picha|Hisani[/caption] Kila asubuhi, makundi mbalimbali hukusanyika hapo kabla ya kutumwa katika maeneo tofauti kufanya kampeni. Washiriki hupewa kifungua kinywa na fedha za kujikimu zinazokadiriwa kuwa kati ya Sh500 na Sh1,000 kabla ya kuanza shughuli za siku. Akizungumza jana, kiongozi wa DCP Rigathi Gachagua aliwataka wakazi wa Ol Kalou kutodanganywa na miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali wakati huu wa kampeni. "Serikali inaweza kuleta hata boti, transfoma, treni za kasi, matangi ya maji pamoja na miradi mingine ambayo haijawahi kufikishwa Ol Kalou tangu 1963. Msikubali kuuza haki yenu ya kupiga kura kwa sababu ya zawadi za dakika za mwisho," alisema Bw Gachagua. Kwa upande wa UDA, kampeni zinaonekana kuwa na mtandao mpana zaidi. Chama hicho kimeunda timu mbalimbali zinazolenga makundi tofauti ya wapigakura huku washiriki wakipewa fedha za kujikimu kulingana na aina ya shughuli wanazoshiriki. Baadhi ya timu hizo husafirishwa hadi miji jirani kama Gilgil kwa mikutano ya kupanga mikakati, ambapo kila mshiriki hudaiwa kulipwa kati ya Sh1,000 na Sh2,000. Duru zenye ufahamu kuhusu kampeni hizo zinaeleza kuwa UDA huandaa wastani wa mikutano sita kila siku, huku viongozi wa serikali na waliochaguliwa wakihusika moja kwa moja katika shughuli hizo. Mbali na mikutano ya hadhara, chama hicho pia kimekuwa kikifanya mikutano na viongozi wa dini, wazee wa makanisa na waumini wenye ushawishi mkubwa, mikutano ambayo huwasilishwa kama warsha za amani na elimu ya uraia. Kiongozi mmoja wa kidini aliyeshiriki katika baadhi ya mikutano hiyo alisema kiwango cha fedha kinachotolewa hutegemea hadhi ya mkutano. Alidai kuwa mikutano ya kiwango cha kaunti washiriki hupokea takriban Sh5,000 kila mmoja huku mikutano ya ngazi ya mashinani wakipata karibu Sh3,000, bila kujumuisha fedha zinazotolewa kwa makanisa na viongozi wa dini wanaoratibu shughuli hizo. Kwa mujibu wa watu wanaofahamu mipango ya kampeni, mikutano mingi ya ndani huvutia takriban watu 500 wanaopewa kati ya Sh1,000 na Sh2,000 kila mmoja. Wanaoongoza kampeni pia hulipwa kati ya Sh5,000 na Sh10,000. Makadirio yanaonyesha kuwa UDA inaweza kutumia zaidi ya Sh3 milioni kwa siku kugharamia mikutano ya ndani pekee, bila kujumuisha gharama za usafiri, malazi, chakula na shughuli nyingine za kampeni. Baada ya mikutano ya hadhara, washiriki wengi huripotiwa kupanga foleni katika makundi ya watu kumi, utaratibu unaojulikana kama "ikumi ikumi", ambapo kila mmoja hupokea kati ya Sh300 na Sh500. Kutumiwa kwa fedha kumeibua biashara mpya kwa baadhi ya vijana wa eneo hilo. Makundi ya vijana hukodisha pikipiki kwa siku nzima na kuhama kutoka mkutano mmoja wa kampeni hadi mwingine ili kuongeza kiwango cha fedha wanachopata. Mwendesha bodaboda James Kanja alisema vijana watatu au wanne huchangia takriban Sh3,000 kukodisha pikipiki kwa siku pamoja na gharama ya mafuta. "Ni biashara nzuri kuliko kusubiri abiria mjini. Tunaweza kuhudhuria zaidi ya mikutano mitano kwa siku na kila mmoja akaondoka na kati ya Sh2,500 na Sh4,000," alisema. Mwendesha bodaboda mwingine, Robert Kiambati, alisema vijana hufuatilia ratiba za kampeni ili kujua mikutano inayotarajiwa kutoa fedha nyingi zaidi. Huku kampeni zikiendelea, serikali nayo imeongeza kasi ya kuzindua miradi ya maendeleo katika eneo hilo. Miradi hiyo ni pamoja na usambazaji wa mitungi 20,000 ya gesi, matangi ya maji, godoro, vyakula, vifaa vya kidijitali kwa shule za sekondari msingi, pamoja na boti mbili za thamani ya Sh5 milioni kwa Bwawa la Gwa Kiongo. Mawaziri na Makatibu mbalimbali wamekuwa wakizuru eneo hilo mara kwa mara kuzindua miradi ya barabara, umeme, nyumba za bei nafuu, masoko ya kisasa, reli na huduma za kidijitali. Kwa upande wa DCP, uchaguzi huo pia umegeuka kuwa uwanja wa kujitambulisha kwa wanasiasa wanaojiandaa kugombea viti mbalimbali katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Baadhi ya wanaotaka ugavana, ubunge na uwakilishi wa wadi wamekuwa wakifanya kampeni za nyumba kwa nyumba kwa gharama zao wenyewe ili kuongeza nafasi za mgombeaji wa DCP, Kamau Ngotho.
read morestandardmedia.co.ke
@standard Wed, 08 Jul 2026 16:00:00
Untouchable cop: Police officer under scrutiny after woman plunges from sixth floor
Nicole Omondi, 25, is lucky to be alive today after she was allegedly pushed from the sixth floor of a building at Thome Estate in Kasarani on June 4, 2026.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Wed, 08 Jul 2026 12:21:19
DPP calls for greater public awareness to combat rising human trafficking
The Director of Public Prosecutions, Renson Ingonga, has called for intensified public awareness campaigns and community empowerment initiatives to curb the growing threat of human trafficking, warning that criminal networks are increasingly exploiting technology and a lack of public knowledge to target vulnerable people. Speaking during a meeting with Marco Bufo, Regional Coordinator for CIVIPOL, [...] The post DPP calls for greater public awareness to combat rising human trafficking appeared first on Kahawatungu.
read moreRight Column Content