kahawatungu.com
@kahawatungu Sun, 19 Jul 2026 23:54:49
Toddler drowns in bucket outside family home in Meru
Police in Buuri West Sub-county, Meru County, are investigating the drowning of a one-year-three-month-old boy after he reportedly fell into a half-filled bucket outside his family's home. The incident was reported on Sunday afternoon by the child's mother, a resident of Mukuri in Timau. According to police, the toddler, is believed to have drowned after [...] The post Toddler drowns in bucket outside family home in Meru appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Sun, 19 Jul 2026 23:58:35
Bernhard Langer Net Worth
Bernhard Langer is a German professional golfer with an estimated net worth of $25 million. Widely regarded as one of the greatest golfers in European history, Langer has enjoyed an extraordinary career spanning more than five decades. He is a two-time Masters champion, a World Golf Hall of Fame inductee, and the most successful player [...] The post Bernhard Langer Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 00:02:09
MP hopeful Birundu faults Jhanda over 'high-end cars' remark
Nyaribari Chache parliamentary hopeful Dr Joseph Birundu has criticised area MP Zaheer Jhanda over remarks linking his purchase of high-end vehicles to the poor state of roads in the constituency, saying the comments amount to an admission of failed leadership. Speaking to journalists at his Keumbu residence on Saturday, Dr Birundu said it was regrettable [...] The post MP hopeful Birundu faults Jhanda over 'high-end cars' remark appeared first on Kahawatungu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Mon, 20 Jul 2026 00:05:24
Ernie Els Net Worth
Ernie Els is a South African professional golfer with an estimated net worth of $85 million. Nicknamed The Big Easy for his smooth swing and relaxed demeanor, Els is regarded as one of the greatest golfers of his generation. During a career spanning more than three decades, he won four major championships, captured a record [...] The post Ernie Els Net Worth appeared first on Kahawatungu.
read moretaifaleo.nation.co.ke
@taifaleo Sun, 19 Jul 2026 23:55:59
Raha tele walimu wakiongezwa mshahara mwezi huu
WALIMU nchini wataanza kupokea nyongeza ya mishahara kuanzia malipo ya mwezi huu baada ya Tume ya Kuwaajiri Walimu (TSC) kutekeleza awamu ya pili ya Mkataba wa Makubaliano (CBA) wa miaka ya 2025–2029. Marekebisho hayo ya mishahara, yaliyoanza kutumika Julai 1, 2026, yatawaongezea walimu pesa ya hadi Sh2,055 kwa mwezi kulingana na daraja lao la kazi. Walimu wa madaraja ya C2 na C3 ndio watanufaika zaidi, huku Walimu wa Sekondari I katika daraja la C3 wakipata nyongeza ya juu zaidi. Kupitia barua ya Julai 16, TSC iliagiza wakurugenzi wa elimu wa maeneo yote kuhakikisha viwango vipya vya mishahara vinaanza kutekelezwa mara moja hadi Juni 30, 2027. Mkataba huo ni awamu ya pili ya makubaliano yaliyotiwa saini kati ya TSC na vyama vya walimu vya KNUT, KUPPET na KUSNET. Walimu wataendelea kubaki katika madaraja yao ya sasa lakini watahamishiwa viwango vipya vya mishahara. Walimu ambao nyongeza yao ya kawaida ya kila mwaka huanza Julai 1 watapokea kwanza nyongeza hiyo kabla ya kuhamishiwa kwenye viwango vipya. TSC ilisema walimu wote waliokuwa kazini kufikia Julai 1, 2026 watanufaika na mabadiliko hayo isipokuwa walimu wa mafunzo kwa vitendo (interns). Aidha, tarehe zao za nyongeza za kila mwaka zitaendelea kubaki kama zilivyokuwa. Chini ya viwango vipya, Wakuu Wakuu wa Shule katika daraja la D5 sasa watapokea mshahara wa kati ya Sh133,351 na Sh164,977 kwa mwezi. Wakuu wa Shule waandamizi na Maafisa Wakuu wa Usaidizi wa Mtaala wa daraja la D4 watapata kati ya Sh120,016 na Sh148,480, huku Wakuu wa Shule na Naibu Wakuu wa daraja la D3 wakilipwa kati ya Sh107,634 na Sh131,405. Walimu wa daraja la D2, wakiwemo Naibu Wakuu wa Shule II na Walimu Wakuu waandamizi, watapokea kati ya Sh93,883 na Sh114,322 kwa mwezi, huku walimu wa daraja la D1 pia wakinufaika na viwango hivyo vipya. TSC ilieleza kuwa posho zote zinazolipwa kwa sasa zitaendelea bila mabadiliko. Hizo ni pamoja na posho ya nyumba, mazingira magumu, usafiri, mizigo, likizo ya kila mwaka na posho ya mwongozo kwa walimu wenye ulemavu pale inapohusika. Naibu Katibu Mkuu wa KNUT, Hesbon Otieno, alipongeza hatua hiyo lakini akasema chama hicho kitapigania kipindi kifupi zaidi cha CBA ili walimu waweze kujadiliana kuhusu mishahara na maslahi yao mara kwa mara. Aliongeza kuwa ingawa nyongeza hiyo italeta afueni kwa walimu, haitoshi kukabiliana kikamilifu na changamoto zinazowakabili, zikiwemo gharama ya juu ya maisha, uhaba wa walimu, kucheleweshwa kupandishwa vyeo na mzigo mkubwa wa kazi. Otieno alisema KNUT tayari imewasilisha pendekezo la kufupishwa kwa muda wa utekelezaji wa CBA kwa Rais William Ruto na sasa mazungumzo yataendelea kati ya chama hicho, TSC na Wizara ya Elimu. Kwa mujibu wa vyama vya walimu, pamoja na kuboreshwa kwa mishahara, serikali inapaswa kushughulikia pia changamoto nyingine zinazowakabili walimu kama vile uhaba wa wahudumu, huduma duni za matibabu, kuhudumu kwa muda mrefu katika nyadhifa za kaimu bila kunufaika na marupurupu yanayostahili pamoja na mazingira bora ya kazi ili sekta ya elimu iweze kuvutia na kuhifadhi walimu wenye taaluma na uzoefu.
read morekahawatungu.com
@kahawatungu Sun, 19 Jul 2026 23:28:53
Woman dies after suspected suicide fall from Upper Hill building in Nairobi
A 22-year-old woman died after she allegedly fell from the rooftop of a 22-storey building in Nairobi's Upper Hill area in what police are treating as a suspected suicide. The incident was reported at about 1.30 a.m. on Sunday after the management of Altura Canaan Building received information from a security guard that a woman's [...] The post Woman dies after suspected suicide fall from Upper Hill building in Nairobi appeared first on Kahawatungu.
read moreRight Column Content